It is nice to see the way ppo have responded. Dhumuni ya kuiweka scene ile izungumzwe ni kuona jinsi watu watakavyopokea wazo la kuwa na moviez za 3D animation hapa Tanzania. Naamini hakuna mtu atakayeweza kuicriticize movie yangu kama mimi mwenyewe kwani mimi ndo najua niliitengenezaje na kwa...
Wakuu na wana harakati wa JF
Inaonekama jamii forum ni tamu. sema sijaelewa bado discussion hii inataka kwenda mpaka wapi? yaani mwishoni tunatakiwa tuwe tumefanikiwa nini?
Pili naomba moderator wa discussion hii anitumie email kwenye bonn-j@hotmail.com ili nimtumie DVD aone film mzima. Hii...
Dear JF Senior Expert Member
Naomba nijibu baadhi ya comments hapa.
1) Kwenye filam hii kuna hitirafu ambazo mtengenezaji angeweza kuzirekebisha, na filam yake ikaleta uhalisia. Kwa mfano, ametumia sauti ya mwanaume sehemu ambayo alipaswa kuwekwa mwanamke.
Jawabu langu: Je ni haki kuwaandikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.