unajuwa kinachofanyika Kigoma ni Halmashauri pamoja na Kaimu Meya kufanya hilba hizo za kuwaada wananchi juu ya suala hilo inavyoonekana kuna wawekezaji kinyume na hiyo Bandari ya nchi kavu, bandari ni kisingizio tu, kibaya zaidi hali hiyo inaongozwa na Diwani wa kata hiyo ambaye ndio Kaimu Meya...
Halmashauri Inayongozwa na Chadema yafanya Ufisadi Mkubwa Kigoma Ujiji
Wananchi wapata 250 waishio katika vijiji vya Kahabwa na Butunga kata ya Kibirizi katika Halmashauri ya Kigoma Ujiji wamepinga hilba na hadaa vinazofanywa na Halmashauri ya Kigoma Ujiji inayoongozwa na Chadema kutaka...
Nimeamini watanzania bado uwelewa wetu unastajabisha sana, tumekuwa hatujadili hoja bali tumeweka ushabiki mbele, viongozi wa Chadema kuwadanganya watanzania je wanaagenda gani na kwa maslahi ya nani. wao walitaka wanzanzibar wauwane kila kipindi cha uchaguzi. Katiba ya Zanzibar ndio msingi wa...
CHADEMA YAUMBUKA
Nimeamini Ukweli ukidhihiri Uongo Ujitenga, Leo asubuhi katika kipindi cha Jambo Tanzania kinachorushwa na TBC Mhe. Anton Kom Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Chadema ambaye pia ni Mjumbe wa TCD wakati akiwaelezea watanzania ujio wa wajumbe wa nchi tatu za Afrika (Msumbiji...
Naomba kuweka, Taarifa ya aliyoitowa Prof. Ibrahim Lipumba jana tarehe 04/11/2012 ili watu wanapochangia wajuwe nini lipumba alizungumzia.
THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF – Chama Cha Wananchi)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU JUHUDI ZA CUF ZA KUENDELEZA AMANI NA UTULIVU...
hoja kukubalika au kusema uongo mbele ya Watanzania tujaribu kusema kweli uchguzi wa Igunga tutaona kama CDM kama kumwagia watu tindikali au mumvua Fatma Kimario hijabu ndio kushinda hayaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Chadema kwanini wanakwenda kwenye majukwa kusema CUF CCM B wao waendelee kunadii sera zao za kumwagia watu tindikali na kuwavuwa hijabu, Tayari Ulamaa wa Kiislamu wamewataka wawaombe radhi mnakakiwa kuwa makini kwa kuwaeleza ukweli sio kutumia siasa rahisi zitakija kuwagharimu baadae hizo jamaa...
AMA kwa hakika usilolijuwa litakusumbua, usemi ambao hutumiwa na watu wengi katika nyakati tofauti wakiashiria matukio anuai wanayokutananayo wakati wakitekeleza majukumu yao.
Na maranyingi mtumiaji anapoamua kutumia msemo huu huwa na lengo la kufikisha hujumbe fulani kwa jamii na hasa pale...
AMA kwa hakika usilolijuwa litakusumbua, usemi ambao hutumiwa na watu wengi katika nyakati tofauti wakiashiria matukio anuai wanayokutananayo wakati wakitekeleza majukumu yao.
Na maranyingi mtumiaji anapoamua kutumia msemo huu huwa na lengo la kufikisha hujumbe fulani kwa jamii na hasa pale...
Jamani kwa hili tunatakiwa kutumia busara, kuliko kujaribu kutoa maneno ambayo yanajenga mifarakano. Kamati ya miss Tanzania pamoja na wafadhili wao kwa kweli lazima tuwe wakweli wamekosea na tunachotakiwa kuungana na wote katika kuwataka waombe radhi kwa Watanzania (Watanganyika na Wazanzibar)...
Tumeona Chadema na CCM ufunguzi wao wa Kampeni Igunga sasa kazi kwenu CUF je mnawatu au ndio nanyi mtakuwa kama Chadema mlivyochakachua picha, tumezoea Chadema kuona picha zinazopigwa kutokea kwenye fuso lao lakini picha za juzi watanzania tunajiuliza kulikoni
Tatizo la watu wenye fikra finyu ndio wanaosema CUF, CCM B hizo propaganda hazisaidi, CUF ni chama kilichosajiliwa kwa mujibu wa sheria, mimi sitaki kuamini yanayosemwa kama Chadema ni chama cha Wachaga ukilinganisha uwiyano wa viti maalum vya wabunge.
Zitto umeonyesha uwezo wako wa kuongoza na kusema kweli, umeona baadhi ya watanzania walivyokuwa na fikra ambazo ndio waliokuwa nazo jamaa wa ....................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.