Nimewaelewa wakuu hebu nisaidieni nimesikia position ya kiti cha dereva pia inachangia mimi huwa napenda kurudisha kiti nyuma kabisa nakanyaga mafuta mguu ukiwa umenyooka kabisa hii inaweza kuchangia ulaji mbovu wa mafuta?
Wakuu nisaidieni kuelewa kitu nikiendesha gari inakula mafuta sana tofauti na mtu mwingine akiendesha gari hiyo hiyo, Nashidwaa kuelewa ni nakanyaga vibaya pedel ya mafuta au kuna kitu nakosea, msaada wenu wakuu.
Huduma ya Tax kwa njia ya mtandao imekuwa suluhisho kwa abiria wengi kinachoshangaza haya makampuni waameweka nauli ndogo zinazomfaidisha mteja na sio dereva UBER na Taxify mnafanya madereve kuachana na biashara hii kwan hailipi kabisa mm binafsi nilikuwa nafanya biashara hii mf kutoka...
No sikuwaomba urafiki ukiistall hii application watu waliokaribu na wew wanaweza kuona details zako hivyo wanaweza kukutumia msg nilishangaa kila mwanaume aliyetuma msg alijitambulisha yeye ni shoga it's pain kuona vijana wanadondokea kwenye maadili yanayopingana na utamaduni na maandiko matakatifu
Mimi ni mtumiaji mzuri wa Mitandao ya kijamii wiki iliyopita niliona application kwenye playstore yangu inaitwa Badoo nikainstall kwenye siku yangu cha kushangaza mtandao huu umejaa wanaume mashoga kila massage niliyokuwa natumiwa wa naomba kutumiwa kinyume na maumbile sikujua kama kuna uchafu...
chuo UDOM kiko social kijana njie mmegoma siklu tisa hata mjumbe wa jumba kumi hajaja si tumegoma siku 3 serekali nzima imehamia social nakushauri ufanye utataifi sahihi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.