Pole sana mkuu, haya mapenzi ni matamu lakini upande mwingine wa shilingi ni mauaji.
Mshukuru Mungu kwa kukuonyesha mapema kuwa huyo bint sio wako, pia muombe sana Mungu akuonyeshe mwenza wako wa maisha.
If you are a christian, please sali ile sala ya novena huwa inajibu papo kwa papo...
Kwangu mie hilo ndio naona gumu, kuna wakwe wanaweza kukufanya ukaiona ndoa chungu. Unaanzia wapi kuwafukuza wazazi wa mumeo au kuwapuga marufuku kufika kwenu?
Hey guten tag, kama wadau walivyosema hapo juu, neno linalofaa kwa "couple" ni wanandoa kama wameoana.Kama bado bado wako kwenye uchumba wanaitwa wachumba.
Mila yetu hairuhusu boyfriend and girlfriend relationship so kama sio wachumba na sio wanandoa sielewi wanaitwaje.
ooh how nice, Mrs Johnson was a very nice lady. Alituachaga ghafla akaenda kusoma UD then hakurudi tena mpaka tukamaliza form four. Kaka jihesabu ulikuwa na bahati.
Mimi alininyanganyaga sketi na kutupa adhabu ya kuchimba shimo. Yule mama tulikuwa tunamchezea kama bibi yetu. Maskini sijui kama bado yupo hai tulimuachaga mgonjwa sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.