Habari wana JF,
Msaada wenu nina laptop mbili HP Probook zote zinaleta kioo cheusi na fan inakimbia kwa speed sana wakati power button, wireless na caps key zina blink.
Nimejaribu kubadili RAM zimegoma, Nime unplug battery na kwenda nazo direct zimegoma..
Ushauri wenu wataalamu...
Nawasilisha.
Kaka Mkuu KIOO ahsante sana, leo toka asubuhi nimepitia page zote 403 nimevuna OLD which is GOLD. Muziki unaoishi. Ahsante Secret Star kwa uzi huu.
OMBI.
1. Ngoma ya Ney wa Mitego alfanya Bongo Record mapema sana inatembea hivi, ".... Kuishi Manzese imekuwa shida, mambo yanavyokwenda baby sijui...
Habari wana JF,
Leo katika pita pita zangu nimedondokea airport.. Parking ni shida, magari mengi sana hata sehem ya kupark ni finyu, kilichonishtua Katika ulipaji wa parking bei ni ya juu kidogo hata kama umekaa dakika tano unalipa elfu 2.
Kawaida huwa ni elfu 1 kwa nusu saa au zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.