Hii ndiyo ilikuwa post yangu fb August 10,kufuatia matamko makali ya LOWASA NA SITTA JUU YA MGOGORO WA ZIWA NYASA,hapo KIKWETE alikuwa hajajitokeza kuwahakikishia WAMALAWI kwamba hakuna vita na wajisikie shwari,nimeamua niipost upya kufuatia Uamzi wa JOYCE BANDA Kujitoa ktk mazungumzo juu ya...
Ndg wananchi leo hotuba yangu ya mwisho wa mwezi tofauti na miezi mingne itakuwa fupi sana, itahusu mambo mawili tu yaliyotikisa taifa katika huu mwezi unaoisha, nayo ni Kifo cha Daudi Mwangosi na Dr Swakala na sign 200 za kuombea msamaha.. Ndg wananchi Sitaki kuongea mengi juu ya kifo cha...
ukitaka kutawala vizuri Tanzania jenga magereza,imarisha majeshi yako,hubiri jukwaani kwamba watu waheshimu utawala wa sheria,himiza hakuna mtu aliyejuu ya sheria,hakikisha unakataa katakata tuhuma zozote zinazoelekezwa kwako kwamba unaingilia mahakama hata kama wananchi kila kona ya nchi...
nimeona lakini huo si ndio mtindo wa kutawala unaotumika,hata madaktari na walimu leo wako kazini kwa kutanguliza uzalendo,na mimi nimeandika hvyo kuunga mkono dhana hiyo inayotamba kwa sasa hapa TZ
Nimepata habari za kuaminika kutoka kwa rafiki yangu ambaye naye ni karani wa sensa hapa DSM kuwa yule kiongozi wao aliyeonekana kupitia tv mbalimbali(kijana mnene mweupe hv) akisisitiza serikali kuwalipa pesa yao yote ya semina ya siku saba jina lake limekatwa,na sasa hajapangiwa kituo na...
nilikuwa na naendeleakuamini kwamba Dr. Ulimboka steven aliyetekwa,kuteswa na kutupwa katika msitu wa pande alianika taarifa zote za msingi kuhusu kutekwa kwake kabla ya kwendaSouth africa kutibiwa, alifanya mahojiano ambayo yalirekodiwa na yako katka mtandao wa U-tube, amesema kuanzia nani...
nilikuwa na naendelea kuamini kwamba Dr. Ulimboka steven aliyetekwa,kuteswa na kutupwa katika msitu wa pande alianika taarifa zote za msingi kuhusu kutekwa kwake kabla ya kwendaSouth africa kutibiwa, alifanya mahojiano ambayo yalirekodiwa na yako katka mtandao wa U-tube, amesema kuanzia nani...
Tunaenda kubaya sana,hakuna mfumo wa kuteteana wanyonge kwa wanyonge,fikiria Ulimboka angekuwa mtoto wa.....................watu wangapi wangekuwa segerea ??
Tumekuwa nchi ya kijinga sana, nchi ya kinafiki sana, nchi ya watu wasiothaminiana, nchi ya ambayo Raia wake wanafanikiwa kwa kusema uongo, nchi ambayo raia wake wanaosema ukweli wanakwamishwa katka nyanja zote za maisha, nilikuwa na naendelea kuamini kwamba Dr. Ulimboka steven...
kuweka msimamo wetu kama TAIFA juu ya mgogoro wa ziwa Nyasa na wenzetu malawi ilikuwa ni hatua muhimu na ya lazima(Kwenye chemistry this is called a necessary step towards reaction),bila kuweka masimamo wetu wa kwamba tuko tayari kama taifa kulinda nchi yetu na mipaka yake kwa GHARAMA YOYOTE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.