ni mtoto wa kibena kutoka njombe,ni chotara wa kiburushi na mbena. Mama yake alikuwa dada wa kazi kwa mburushi huyo, alipopata ujauzito akarudishwa kwao njombe..
nahitaji kununua nissan liberty ila sijajua madhaifu kuhusu gari lenyewe japo kwa muonekano ni zuri sana. Naomba kwa anaelifahamu kwa undani anifahamishe kabla sijaingia mkenge!
Tena waandishi huwa wanaambiana wapi watoa bahasha na wapi hawatoi na sehemu wasizotoa bahasha huwa hawaziandiki habari za kutoka hapo, na sehemu kama ubalozini TRA na mashirika mengine yenye pesa huwa wanaenda wahariri maana huko wanajua kuna bahasha zilizotuna zaidi.
Hakuna swali la msingi kama hili najua na wewe utasita kuwauliza wabunge wenzako. Swali lenyewe utekelezwaji wa matumizi ya mfuko wa jimbo? Na je huu mfuko upo kwa faida ya nani?
unawezaje kupenda watu wawili kwa wakati mmoja. Najua kwamba mkeo naye ana kuzunguka maana unaonyesha wakat wote upo na huyo kimada, kwahyo naye anataka wakumfariji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.