Yeah....! Kweli watoto wetu /wadogo zetu kwakweli wanasikitisha......huwa najitahidi kutazama kipindi kile mara kwa mara kirushwapo lakini huwa mimi binafsi japo sijaulizwa swali ....lakini huwa nahisi rohoyangu kuumia sana hasa nionapo jinsi vijana wanavyokimbia camera, hawapendi kuulizwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.