Search results

  1. M

    Damu ya kunguni waijua? Soma hapa

    Damu ya kunguni haimanishi ww nikunguni bali hakuna jema utakalofanya na litaonekana,hata neno ukiliongelea zuri bado litakua baya,njia ya kuepukana ni kukaa kimya
  2. M

    Kubenea wa MWANAHALISI amenunuliwa na mafisadi?

    uongo mtupu kubenea nnaemjua hawezi fnya hvyo kama kukubali angekubali mabilioni ya hela aliyokua akitaka kupewa ili aachane na habari za richmond,i knw him dhamira yake hawezi fnya maana anachopigania sio kwa faida yke ni vizazi kwa vizazi
  3. M

    Kweli Lowassa na RA wana nguvu

    viongozi wangekua na uzalendo na nchi tusingekua hapa tulipo,hayo mnayoyafanya mnadhani 2015 mtawaambia nini wananchi waliowapa nafasi?
Back
Top Bottom