Damu ya kunguni haimanishi ww nikunguni bali hakuna jema utakalofanya na litaonekana,hata neno ukiliongelea zuri bado litakua baya,njia ya kuepukana ni kukaa kimya
uongo mtupu kubenea nnaemjua hawezi fnya hvyo kama kukubali angekubali mabilioni ya hela aliyokua akitaka kupewa ili aachane na habari za richmond,i knw him dhamira yake hawezi fnya maana anachopigania sio kwa faida yke ni vizazi kwa vizazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.