wakuu kikawaida kwa wale ma-surveyor mtanisaidia kikawaida kabla ya ujenzi wa barbara infanyika survey ambayo itaamua barabara ijengwe kupitia wapi na mahala husika, na hizo survey huchukuwa hata miaka kwa hapa kwetu ila kikawaida ni mwaka mmoja kutegemeana na urefu na mazingira inapopita...
sijajua kama alihusika moja kwa moja au alishtukizwa kama alijua atapanda mti au miti ndivyo tufanyavyo? koleo limeshikwa huku umepiga magoti! kwani unakwamua gari kwenye tope au?
sidhani kama hawa jamaa yaani watawala hasa kwa huku bara wanania ya kuliendeleza taifa, maana ni kulumbana tuu na kutafuta kujisafii tuu huku tuumiao ni sisi wadogo huku chini. Kaka TUMAINI LETU wewe elekea au njoo popote pale ila uwe na lengo la kuendeleza nchi yako na si kwenda huko kulijaza...
Ki-ukweli kaka wengi wanasema mengi kuhusu tabasamu lako na uvivu wako katika kukemea na kufuatilia bila kumuachia pumzi kwa yule unaye mbana, mimi nimefahamu sasa kuwa vyote hivyo ni kutokana na wewe kuwa ndivyo ulivyo nothing to change. kwahiyo tuahidi tusitegemee lingine ilitujue huna jipya...
kwa wakatii huu unasema hivyo, mlivyo na roho nyepesi ukisimuliwa tu even ni joks unaanza kuweka fikra za kutaka mwenye namna gani ya ukweli mimi mawapaga tuu ila wakija na vyeti vyao na ruhusa kutoka kwa manzi wao (its official true)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.