Nilikuwa namheshimu sana Prof. Lipumba lakini kutokana na clip hii nimemtoa katika kundi la watu wa maana kabisa. Anasimama anazungumza kama mtu ambaye hakwenda shule kabisa kuchochea udini kwa sababu tu anataka kuwa Rais mwaka 2015? Kwa msingi wa clip hii CUF ni chama cha kiislamu bila shaka...
Acheni hizo washikaji hayo mambo ya ukabila na uzone yanaanzia wapi sasa? Hapa tuna msiba mzito umetupata nyie mnaleta mzaha hapa!!!! Poleni jamani wote mliopatwa na msiba huu mkubwa Mungu mwenyewe awape faraja ya kweli. Madereva tuwe makini hasa kuweka alama tunapokuwa tumepata brerakdown...
Haya ndiyo matatizo ya wanasiasa uchwara ya kuamini kile anachokitaka ni lazima kifanyike hivyo hivyo kuklitokea mawazo tofauti anasema demokrasia imebakwa. Hivi hapa anayebaka demokrasia ni yupi ni huyu asyetaka wazo tofauti na la kwake na likitokea anabeba mabegi anakimbia au ni yule aliye...
Miaka saba bado mapema mkuu. Ndoa inahitaji upendo, uvumilivu na kubebeana mizigo.kama wengi walivyoshauri ni vema wote mwende hospitali kupima mpate ushauri wa wataalamu. Pia na muhimu mwamini Mungu nenda kwenye maombi na mke wako muombewe inaweza kuwa tatizo ni jambo dogo sana. Inawezekana...
Hizi nyakati za mwisho. Aliye juu ya dari asishuke kwani ni jioni sana jua linakaribia kuzama. Roho ya mpinga Kristo iko kazini wakiwatumia manabii wa uongo kama hawa. Mpendwa kaa macho sio kila huduma yatoka kwa Mungu nyingine zatoka kwa yule adui.
Hizi excuse za timu zinaingia uwanjani kucheza mpira moja ikishindwa inasingizia uwanja ulikuwa na matope ooh sijui ulikuwa ma mabonde kwani wapinzani wao waliwatoa wakaenda kuwafungia kwenye uwanja mwingine? Tufike mhali ukishindwa ukubali mwenzako kakuzidi ujanja tuache visingizio. Kwani hilo...
Anatakiwa haraka binti mwenye utaalamu wa computer hasa Microsoft word, Excel, graphic design n.k. Awe na uzoefu wa kutosha katika kutengeneza kadi za matukio mbalimbali, vitambulisho vya aina mbalimbali, matangazo n.k. Awe na umri kati ya miaka 18 na 25; awe na kauli nzuri kwa wateja, aweze...
Wanadamu bwana kaazi kweli kweli. Si ndio ninyi mlikuwa mnasifia Zitto kwa nguvu zote na kumwita kamanda juzi juzi tu hapa? Leo Zitto msaliti tena!!!!! Ehe eheee hii kaazi kwelikweli. Mbowe na Slaa na nyie jiandaeni jamani midomo hii inayowapamba leo ndio itakayowavua nguo kesho. Unajua...
Hapa ndipo mnaponishangaza wana Jf. Watu mnajaa mapovu ghafla huwa mnakula sabuni? Swali limeulizwa jibu swali usitukane au kubeza. Yeye kwa kuwa anamfahamu ndio maana anauliza kama kuna mtu ana taarifa tofauti na alizo nazo. Hata baada ya msg hii utaona wengine watakurupuka na matusi. Hii...
Mimi nafikiri hatumtendei haki Mh. Ole Sendeka kwa kumtukana. Yeye hajaleta huo uzi aliyeleta ni mwingine. Halafu hivi hakuna njia ya kistaarabu ya kujibu hoja ambayo si matusi? Hebu fikiri ni baba yako angekuwa anatukanwa hivi au ni kakako au ndugu yako yoyote ungejisikiaje? Bado naamini...
Angalia akili zenu zilivyo. Hoja ya msingi mmeiacha mmeanza kuingilia mambo ya familia za watu. Nyie Babake na Kingwanwala kawashitakia au kawaomba muwe mdomo wake wa kumsemea? Kama ana matatizo na mwanaye si ya kwao? Nyie yanawahusu nini? Je hata kama lilikuwapo tatizo na wameshamalizana nyie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.