Si lazima saana CDM kufuata style za siasa za CCM! ila CCM huiga vingi sana toka CDM! Hiyo waache wao wajitangaze ktk TV sisi man to man nawanchi kwa style yetu ya mikutano ya ana kwa ana na wadau!!
Kimsingi hii hoja inakuja pale CCM hawezi style ya CDM na kujaribu kupinga kwa gharama yoyote...
Wee kweli ni pakacha! Vitu vingine hata kama hujui kusoma maandishi! Basi hata kuona PICHA na kutoa maamuzi sahihi huwezi!!? Angalia kahama, Geita, wanatoa madini kibao! lakini wao masikini wa kutupwa! Mtwara wameshituka na Gas yasiwatokee kama yaliyowakuta wenzao mikoa mingine!
Wanadai...
Mtoa mada kakurupuka!! Hakutumia AKILI kufikiria kuwa watanzania wanauelewa mkubwa sana kuliko hata yeye!!!
Hii ni akili FINYU!! tunahitaji mada za kujadili za kuleta tija!! Sio kama hizi, Hamia kwenu FB huku umevamia!!
Hakuna mtandao wa URAIS CDM, na usijifanye unashangaa! unaelewa fika makundi yako CCM, pia angalia sana kushughulika data za vijiweni ambazo nhazina PROOF yoyote!! sasa hivi ni Ulimwengu wa DIJITALI ukisema kitu toa ushahidi pia! sio kuongea tu kama mvuta bangi kijiweni! story kupoteza jua...
Swali la kizushi::: Majina tupewayo na wazai wetu tuzaliwapo yanawezakuwa na ATHARI zozote katika makuzi ya mtoto!!??
kwa mfano majina yafuatayo!: 1. Kibonde .......
2. Nyani ngabu ..... etc.
Naomba mtazamo wako hasa kwa upande wa makuzu ktk nyanja...
Mjinga we kama kibonde! mmekutana pipa na mfuniko! Kwanza jina "Kibonde" tu! maana yake huna akili na uwezo wa kufikiri mambo kama wengine, wa mwisho kabisaa! pia na wasiwasi na elimu yenu!
wananchi tunalipa kodi selikali ili iweze kulinda mali zetu watanzania! Kama malizetu zanaibwa na...
Kuungurum hadharani usifanye mchezo!!! bora CDM watu hujitokeza wenyewe ktk mkutano! ila wenzetu nyinyiem huingia gharama kubwa sana kulipa watu na kuwasafirisha ili kujaza uwanja waonekane wapendwa na wengi kumbe wa kukodi! sasa kulianzisha kujibu nchi nzima gharama yake hawana sasaivi! ni kama...
We Mtoto! Ukikua utajua majukumu ya mzazi!! Mara nyingi wazazi FAKE (kama JK) hawajui majukumu yao kijamii, ama huyakimbia au kuyatosa kabisaa! Leo uchumi wetu ovyo! maisha duni! bidhaa bei juuu!! na huyo unayemwita mzazi yupo hapohapo anangalia tu desperately! Kuitwa mzazi fake anastahili 100%...
We Mzee! nadhani una MARALIA ya kichwa! nakushauri wahi hospital katibiwe! ila naona uaminifu wako wa MIUJIZA kama mwanamaombi unajipa moyo kwa 71% fake!! na kuzikana takwimu huria kihalisia! Nyinyiem ni sikio la kufa halina dawaa!!
Ni bora ukalijua hilo mapema na kuanza kulifanyia kazi mapema...
we Naumbu! Kama ni udini uko ccm tena mkali sana! Mdizi kasema kweli najua Hupendi ila ndo ukweli wenyewe! Pia hili ni tatizo la manjuka na democrasia ya kuongea! "even a fool is allowed to discuss!!"
CCM acheni kuzushia wengine udini na ukabila wakati kumbe ninyi ndio number 1 wa hayo...
Hapa hatuhitaji sheria nyingi kama unavyodhani! Tufanye kama china tu! ikidhihirika umeiba ni "kitanzi tu!!" sio kutumia myanya ya sheria kuiba hela zetu, kisa vifungu kumbe mwizi!! Colombia pia wanakukita tu!! halafu baki na sheria zako!
Ni kweli kabisa! Wasiwasi wangu ni kuwa hii ni "kawaida sana!" kuongelewa kila siku bila mafanikio! Watu wanaendelea kutesa tu wapo nchini maisha BOMBAA!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.