"Naunga mkono wazo hili na wakati wa Hotuba ya mwezi ya CDM iwe ni pamoja na kujibu au kufafanua baadhi ya mambo ambayo chama tawala imewaeleza wananchi. Baada ya hapo hotuba ya CDM ikaendelea kueleza mikakati na mambo ya msingi au muhimu kuhusu CDM na mstakabali wa taifa hili. Lakini kwangu...
Kama suala hilo nikweli basi neno "Intelijinsia" linatumika vibaya na bila shaka ni silaha na maagizo ya watawala wenye mashaka na uongozi wao ambao hauna nia njema ya kuwaletea maendeleo ya kweli wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.