Search results

  1. V

    Mke wangu kasema nafeli; je, nafeli wapi?

    Hapo pia atatafuta mwingine wa kuiendeleza. Arudishe frem kwa kanisa tu
  2. V

    Mwelekeo wa Ndoa yangu umefikia pabaya sana

    Acha wote, anza upya. Waambie woteumegundua hawana sifa unazotaka
  3. V

    Ndugu yangu amenipa sharti la kuacha kazi ya kuajiriwa ili anipe mtaji wa Tshs 200M nianze shughuli yangu mwenyewe lakini sijui nifanye shughuli gani!

    Kuna mtu alinipanga tufanye biashara pamoja mimi nitoe mtaji yeye atasimamia. Alinipa business idea very impressive nikazama benki nikampa Milioni 3 akachukue mzigo. Tangu 2012 hadi leo sijamuona. Kuwa makini na ushauri
  4. V

    #COVID19 WHO: Chanjo zilizopo zina ufanisi dhidi ya Omicron

    Kama zina ufanisi kwanini waliochanja na wailsiochanja wote wanaumwa?. Weledi unapotea zimebaki siasa na kulinda maslahi ya mfadhili mkuu wa Shirika kwa gharama ya afya zetu
  5. V

    Itanigharimu kiasi gani kutalii katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti?

    Toa mchanganuo, gharama za kuingia hifadhi kiasi gani, usafiri ukikodi kwa siku kiasi gani
  6. V

    Maoni: Watu hawa wapewe Udaktari wa heshima

    Hamisa Mobeto, King Majuto, Senga, Bambo, Ebitoke, CEO Konde gang, Mzee Kipara, Bi Kidude, Mzee Yusuphu, Dr Kumbukwa, Baba Levo, H. baba, Mwijaku, Menina, Sepenga, Kiba na CEO Wasafi
  7. V

    Taharuki na sintofahamu ya upandishwaji madaraja na mishahara ya Watumishi wa Umma, Waziri Mkuu simamisha zoezi zima kabla mambo hayajaharibika zaidi

    Sentensi nyingi bila vielelezo natakwimu ni sifa za Majungu au kushindwa kujenga hoja. Je watumishi wangapi wenye sifa wameachwa? Wangapi wasio na sifa wamepandishwa? Wangapi wamepandishwa kwa Vimemo? Je Vimemo vimetoka kwa akina nani? Hatua gani ulichukua?. Ni vitu vya msingi vya kuboresha hoja...
  8. V

    Natafakari sana kwanini Uncle Kijo yupo makini lakini hana bahati

    Nilichojifunza ni nature ya biashara. Zipo ambazo hazihitaji watu serious. Akikaa mtu serious mambo hayaendi.
  9. V

    Alikuwa binadamu kweli?

    Atakuwa huyo mwenyewe ndo jini anatafuta mtu ajichanganye. Sasa nyie wa p.m mkikutana nae msisahau kamfupa ka kitimoto
Back
Top Bottom