Ndugu zangu habari za saahizi? Yapata miaka saba sasa tangu nipost kwa mara ya mwisho katika jukwaa hili. Leo nimepata wito wa kuandika jambo walau na mm nitoe ya moyoni kwa kinachoendelea sasahivi katika taifa leo.
Naanza kwa kujiuliza, kwani Rais ni mtu au taasisi? Nijuavyo mimi Rais ni...
Kwani Rais Samia anatekeleza ilani ya ccm au kuendeleza miradi aliyoanzisha mtangulizi wake? Kiukwel yote yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika ni sehemu ya ilani ya ccm.
Hebu acha kutuchekesha. Kile ni chama ambacho kinaendeshwa na mtu mmoja na mke wake. Wakipanga hata kusema shetani hana dhambi basi wanachama wanasema ndio mheshimiwa na kuongeza tena ataenda peponi.
Wengi wenu humu mnapiga majungu tu dhidi ya uchapakazi wa Rais Magufuli. Hakika mwanadamu huyu hana maneno ya kisiasa bali yy anachapa kazi tu. Kama katika uchapakazi wake atakupitia basi lazma umchukie tu. Binafsi nampenda sana Magufuli. Na naamini kwa kila mwenye akili anampenda pia.
Wanafanana kabisa. Na mm nahs kama Magufuli ni bora zaidi. Mtanisamehe enzi za Mwalimu na enzi hizi ni tofauti kabisa. Hata mwalimu angekuwa yy enz hizi angekuwa mkali tena zaidi. Mmesahau wala rushwa alivyokuwa anawachapa bakora wakiingia jela na wakitoka wakawaonyeshe wake zao. Leo hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.