Kichuguu, ahsante kwa mchango wako japo swali lilikua kuhusu utatuzi wa tatizo la uke mkavu kama wa yule demu nilie chubuana nae juzi. Lakini nitajibu swali lako. Ni kweli "ninawajua akina dada kiasi cha kutosha na hiyo haikuwa mara yangu ya kwanza kukwaruzana nao" ... ila sijawahi kuchubuka...
Kuna mwanamke ambae nimeanza mahusiano ya kingono nae jana usiku tulikwenda gesti kutenda hilo jambo sasa kinachoshangaza ni kwamba kabla ya bao la kwanza uume wangu ulianza kujihisi kama vile umechubuka.
Demu mwenyewe alikua mkavu kidogo ukeni, nikajaribu kutemea mate ili alainike lakini...
Kidzogolae,
Mimba hiyo inaweza ikawa sio yako kama huyu mwanamke alifanya ngono nawe siku ambayo ilikua siyo ya hatari. Je, ulimuuliza kuhusu tarehe zake kabla hujafanya nae ngono?
Kuntakinte,
Wengine wanasema kondomu sio kinga, na wengine wanasema ni kinga, lakini kwa mtazamo wangu, mimi naona kwamba kondomu sii kinga kwasababu sisi watumiaji hatuna msimamo nazo. Kama utatumia kondomu, basi tumia kila mara!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.