Search results

  1. M

    BP yasimamishwa, bosi wake kushitakiwa

    Ka jinsi nilivyosikia, vituo vye rejareja vyenye nembo ya BP kwa sababu vinamilikiwa na watu binafsi na c kampuni, wataruhusiwa kununua kwa wauzaji wengine wa wholesale na c BP, na mafuta ya ndege hayo amesema ni kwa sababu hayakuwa kwenye makundi ya mafuta yaliyogomewa wao wamezuiwa petrol...
  2. M

    Mhariri wa New Habari, Danny Mwakitereko apata ajali Dar

    Danny amefariki leo asubuhi na msiba uko nymbani kwake Tabata, kwahiyo tumuombee mwenyezi mungu aipumzishe roho yake mahali pema peponi, Amen
  3. M

    Hali ni mbaya Tarime: Polisi watembeza Mabomu usiku huu; Kina Lissu wakamatwa

    Lissu amepandishwa kizimbani na wengine kwa mashtaka matatu: kuingia hospitali bila kibali, kukusanyika hospitali bila kibali na kuwazuia polisi kufanya kazi yao. Wamerudishwa rumande mpaka kesho maamuzi ya dhamana yatakapotolewa. Polisi wametoa kisingizio kwamba wakitoka watachochea vurugu...
Back
Top Bottom