Hebu nijuze kuhusu wanawake waki Arusha kuna jamaa kaoa huko na mkewe anamtesa sana jamaa, wamezaa mtoto mmoja na familia mzima walificha kwamba ni waarusha wanadai ni wamasaai hivi karibuni tu ndio kajua ni Maasai wa Ngaramtoni hivi ni kwanini wanaficha? Maana mila zao na wamasaai...
Jaribu kufanya fumigation. Dawa za fumigation uzinunue mwenyewe au tafuta mtu mwenye uzoefu sio lazima utafute makampuni makubwa. Tafuta vijana wanafanya hizo kazi watakusaidia.
Great tips! I would like to add one if you are having difficulty opening jars. Run the rim in warm water for a few seconds then wait a few minutes and try.
Kitu alichoniambia ni viwili, kimoja ni kwamba mume wake yuko stressed sana kazini na huwa anachoka sana. Alikuwa anatafuta kazi na mkewe alikuwa pia anajaribu kumsaidia kuna wakati alitaka hata kuresign bila hata kupata kazi sehemu nyingine. Hivi sasa ana mwezi mmoja tu kwenye kazi yake mpya na...
Naomba kuuliza mnisaidie kumshauri rafiki yangu ambaye ni ofcmate wangu. Yeye ana mume na wana mtoto mdogo kwa sasa wa miaka miwili ( huyu ni mtoto wao wa tatu). Toka alipoconceive huyu mtoto wa tatu mpaka leo mume wake hataki kufanya nae tendo la ndoa. Hii mimba ya 3 mume ndio alidai sana...
Hii thread ni kwa ajili ya wanawake kwa ajili ya kuchunga waume zao? Not the other way around? Au the other way around hakunaga shida? Anyway, just passing!
<br />
<br />
I don't agree at all and it is not fair to generalize! Attitude ya mtu depends on a lot of things including up-bringing etc etc. This is a racist comment. For example if someone generalizes' wanawake weusi ni player' that will be a senseless conclusion!
Thanks for the info. I would like to know... we have asthma in my family and my children have mild asthma attack. I have never had any case of asthma but last month I was very sick mimi nikadhani ni severe case of malaria pamoja na kikohozi cha kawaida. Nafika hospitali wakaniweka kwenye...
Kwakweli Idrissa alikuwepo NMB muda mdupi tu kabla hajateuliwa kwenda TANESCO. Huo muda mfupi aliokaa NMB impact yake ilikuwa felt mpaka kwa watu wa chini kabisa. Idrissa is the MAN no matter what anybody says. Binadamu wate wanamapungufu lakini Idrissa ni mtu mzuri sana anatetea watu wa chini...
Hivi kumbe ni ambulance tu yenye uwezo wakuingilia msafara? Nilikuwa sijui. Kuna siku mwaka huu nilikuwa namsindikiza mjamzito ndani ya taxi uchungu ulimuanza ghafla. Texi ilikuwa inapiga honi na kuwasha taa lakini tulizuiwa kwa sababu ya msafara wa kiongozi. Yaani mgonjwa wangu chupa ilivunjika...
Mbona zipo nyingi tu, wewe unaishi wapi? Mimi huwa napenda kufanya waxn ya underarms natumia saloon inaitwa 'chic saloon' iko PPF House na ni wasafi na very professional. Wananiambiaga nijaribu waxn ya huko chini lakini nina aibu sana. Ila waxn ni kitu cha kawaida na sio cha kihuni.
It is sad, lakini this is typical kwenye taasisi za serikali. Wizi wa design hii ni kitu cha kawaida tena walioko kwenye strategic vitengo wanaona ni haki yao kabisa!
Hivi jana tu TANESCO walitangazo mgao umekwisha! Leo huku Mwenge kwenye saa kumi na moja wamekata umeme sisi tuwaeleweji. Mimi nachoka kabisa! Kinachonimaliza ni kwamba ukiwapigia emergency 2700367 (Mikocheni) iko busy au wameiweza pembeni. Mimi nina TTCL kwahiyo najua kabisa message inayokupa...
In a household it is a known fact that the man is head of household and the women supports him, sometimes there is mutual understanding between husband and wife. In some household the wife turns out to be head of house due to negligence of husband. In a relationship where a couple is not yet...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.