Kuna sababu Kadhaa za kupendekeza CCM Ifutwe kama ifuatavyo:
1. CCM imekubali kuwa imekumbatia mafisadi. CCM imewataja
Lowasa, Rostam na Chenge kama vinara. Hawa ni wachache tu
kutoka kwenye orodha ya Dr. Slaa. Je nani aliyebaki msafi
ndani ya CCM?
2. CCM imeshindwa kusimamia...
Kuna sababu Kadhaa za kupendekeza CCM Ifutwe kama ifuatavyo:
1. CCM imekubali kuwa imekumbatia mafisadi. CCM imewataja Lowasa, Rostam na Chenge kama vinara.
Hawa ni wachache tu kutoka kwenye orodha ya Dr. Slaa. Je nani aliyebaki msafi ndani ya CCM?
2. CCM imeshindwa kusimamia falsafa...
wazo zuri sana,inaonyesha ni jinsi gani mulivyo na uchungu na nchi yenu,huu ni mwanzo mzuri wa kuhakikisha mali za Watanzania zinalindwa na Watanzania wenyewe,mchakato uanze mapema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.