Naombeni kuuliza,
Kuna ndugu yangu kaja kuniambia katembelea benki za NMB,KBC, BOA,POSTA wote wanadai wameteminate kutoa mikopo kwa wafanyakazi wa wizara ya kilimo na chakula eti kisa wizara haipeleki makato.
Je, hii imekaaje ukweli wake? Je ni benki gani ambayo bado wanawahudumia wafanyakazi...
**********
Achana nae mkuu ninapewa furaha sana kule pm yani kumbe ni wengi mno waliopitia pitio kama langu....
ila wametunza kifuani
..vile tunapoongea hapa tunapeana nguvu..
asante sana mlo nami PM.
mnafanya niuone mlango ulio wazi tofauti na ule ulofungwa
....asante kwa mlioniombea...
nimeota mambo mengi sana usiku wa leo na kikubwa ni God relaleted dreams..
i was takin jf for granted ila nahisi kuna hali isio kawaida siriously...
*********************************** Mwana respect kwako.
physically sioni mtu wa kumuelezea huu mkasa may b in future..
kwa kifupi nafrah kuwa msiri i have that bhaviour
**********-**************&
u have a point mkuu ila kuhusu hili nakiona kifo kama part of my life currently yani sijisikii woga sijui kwa nn...
aniue sawa
******************************
uko very ginius mkuu
lakini ni ngumu kujua lini kitatokea coz hi relationship ni ya muda
ss tulibadilishana simu zetu yan akitoka na yangu sawa nami hivo hivo
tulibadilisha password zetu za fb
yan ni full amani
lakin nilitaka kuprove kwamba ni kwel no...
******************
soma threds zote mkuu mbona sikubakiza sema napo yataka moyo ningeeleza kiila kitu tungemaliza mwezi...nimehilight watu waelewe na pia mm si mwandishi mzir
*************************
mkuu alijua tu hakuwa na sababu ya kuuliza ilihali anajuaga mi ni mtundu sana kucheza na application...
sema hakuamin kama inaweza kuwepo ya aina hii kama wengi ambavyo hawaamini..
nikamsomea txt zote na zingine alishazisahau kwan alikuwa anafuta txt
*******************************:::*:**
salute@washawasha hope umenipa mwanga fulani na kunifumbua kitu hapi ...
kweli kaka nakacha kazi kwenda kumsubilia mwanamke hoteli
napoteza muda..
natenga hela kulipia hotel let say mfano nulitumia 30000 kulipia room
elf 20,000 chakula
nikampa 30,000...
********************************
asante Asnam najiulizaga kwamba yule jamaa kachezea nyeti za mke wangu wa ndoa! kwa hiyo anazijua na kuzichafua! plz aliwah pitia pito hili naombeni msaada wenu mlivukaje....help me to step frm here frm ur xperuence
*********************
asante mkuu nina moyo mgumu sana ila cha kwanza
mwanangu
cha pili
alidai nisipomsamehe hana njia nyingine tofauti na kifo
tatu isiwe skendo kwa watu
mm ni mwanaume ambae sipendi cga ndani kitoke nje yan nahisi nacho kinaniumiza kifua changu kimebeba mengi....
note...
***************************
asante mkuu mtoto tunae mmoja ana mwaka kamili....na hii ndo inaniongezea hasira kwamba mwanangu bado mdogo ananyonya chuchu zilizochezewa na jibwa lingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.