awe mpole tu sizitaki mbichi hizi aliropoka kufunga goli la mkono sasa kafungwa la kiwiko na bado la kisigino! CCM tuko ngangali walitumia gharama kubwa na fedha nyingi ila 2020 kiulaini make wananchi watakuwa wameona manufaa kutokana hiki kinachoendelea kurejesha nchi kwa wanyonge
CCM tuko ngangali acha hayo mawazo yako sisi tunafurahia hatua zinazochukuliwa kwa sasa nyie mliokuwa mmehodhi chama ndio mnasikitika kwani chama kimewarudia wenyewe ambao ni wanyonge. Acha tuchape kazi mbele ya safari utakubali tu kuwa tuko ngangali kinoma.
Hio taasisi hawajipendi nini kofi alilopigwa mzee walioba kipindi cha mchakato wa katiba mpya halijapoa halafu unataka apigwe tena. mzee tulia wenye nchi wapo hasa vijana ndo wenye taifa la sasa sie tuko saa 12.30
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.