Mzee wangu Tundu Lissu,tuombe radhi Wa-Tanzania kwa hilo,maana tunaamini ulimi hauna mfupa na wewe ni binadamu,yawezekana umeteleza kwa ajili ya jazba tu za-kisiasa,aliokamilika ni Mwenyezi Mungu tu,sisi wote ni wakosaji,so kwa hili mzee wangu nakusihi kubali yaishe,maana hata mzee Mtei...
haijalishi kazaa au hajazaa,bali huko ni kukosa haya na maadili,mwanamke kuonyesha matiti yake wazix2 ni kukaa uchi,mwili wa mwanamke wote ni uchi,ndio maana ni nadra sana kumuona mwanamke amechutama pahala mbele za watu akaanza kukojoa,lkn angalia wanaume,popote pale bila hata ya kujali kama...
DO! ni hatari sana upo uwezekano wa kushambiliwa na virusi vidogo sana kwa ufupi vinaitwa PPV,hivi hua vinapatikana katika maji (sperm)yanayotoka kwa mwanamme,hua yanaathiri koo na mwishoe ni kupata maradhi ya kansa ya koo,pia virusi hivi hata kwenye yale maji yatokayo kwenye Uc........ wa...
Ndugu yangu ngoja tuishie hapa maana kwanza sijui kwa upande wa maadili ya Dini wewe ni wa upande gani,pili naona unajaribu kusema usiliolijua,kama wewe ni Mkristo naomba usome sana Bible na kama ni Muislam basi kafungue maandiko usome kwa kutafakari,maana hueliewi chochote katika mambo...
ndugu yangu kua muelewa usikurupuke tu,kwani unataka kunambia kile kimbunga kilichpiga Marekani miaka ya hivi karibuni na kuleta maafa makubwa,wa-Marekani wa mji ule unataka kutuambia walikua wakiishi katika mazingira hatarishi?au Tsunami iliopiga sri-Lanka utanambiaje?narudia tena kuwa muelewa...
Astaghfirullah,huyu jamaa SANGARA sijui hana dini?labda ni mpagani.Hii ni kadari ya mwenyewe Mwenyezi Mungu,mwenye uwezo uwezao usiowezwa,atakalo ndio hua.Nashangaa sana kusema 'haya yote anasababisha JK' astaghfirullah jamani jk amekua Mungu?jamani tuweeni waadilifu,tusichanganye kudura za...
Kelele za mlango hazimuudhi mwenye nyumba,nyie pigeni kelele weeeee!!!!! mwenzenu anakula Nchi,Nyumba nzuri,gari na maposho yasiokwisha,Domo Kaya lete thread zinye akili sio hii.
Wadau naomba mnijuvye,nahitaji printer kama nilivyoianisha hapo juu.Kwa anaefahamu bei yake pls naomba msaada.
Kwa wakaazi wa DAR na Arusha wapi naweza kuipata?
Nawakilisha Ahsanteni.
Ah! huna mpya,heading yako na ulio yaandika hata hayaoani na ulichokiandika,ndugu yangu kelele za mlango hazimuudhi mwenye nyumba,lete thread za maana sio za kumzungumzia JK,hata ufunye nini yy ndie baba mwenye nyumba
....Ahsante ndugu yangu,nadhani hujanifahamu point yangu,kwa mama yetu(Eve na Adam)kula lile tunda la katikati ndio Hekima ya M.Mungu ili nasi tuzaliwe ndio maana tukaitwa Bin-Adam(kwa maana woye sisi ni kizazi cha Adam)then ndio likaja neno Binadam,kwa maana hio ndipo Adamu akatubu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.