Mutuz kazi njema kaka, endelea kukusanya kero za watanzania wenzetu na angalia ni kwa jinsi gani kero hizo zinaweza kutatuliwa, hata kama itakuwa kuzifikisha kwenye idara husika.
Tutawasiliana, Ubarikiwe sana kaka.
Sasa turudi kwenye hoja mkuu, naona sasa umekubali kuwa Willy yuko level tofauti na wewe, hahaha
Turudi kwenye hoja za ujenzi wa Taifa, maswala ya safari zake na kama anamix ya kihaya unaweza kuyafungulia thread kule kwenye "chit chat" haha...
hahahahaha!!!! sasa hapo kwenye RED ndiyo wabongo wanapoumiaga huwa hawataki kukubali ukweli, soon utaona watu wanakurupuka na kudai kuwa unajipa promo sana, kumbe hizo ni schedule za kawaida sana.
Bro Willy habari njema sana hii, nadhani itakuwa vizuri sana katika kujaribu kuangalia mstakabali wa siasa za nyumbani, na hakika Arumeru utajifunza na kujionea baadhi ya mambo.
Maslahi ya Taifa mbele daima
Napenda kuwafahamisha kuwa mimi Gamba Jipya, sina uhusiano wowote na Bwana Willy, kitu kilichopo hapa ni kuwa mimi ni muumini wa siasa/uongozi wa vijana, na mara ninapoona kijana wa Kitanzania mwenye nia njema kabisa akiwa na ari na shauku ya kupanda ngazi ili awe kiongozi ili baadaye asaidie...
Mkuu mbona kuna mwenyekiti amerithishwa nafasi ya baba mkwe wake, inamaana na yeye hafai?...hahahaha.
Rudi kwenye hoja hayo mambo ya kurithisha yafungulie thread nyingine tutakuja kujadili kwa hoja...hahahaha..
Mkuu Willy heshima mbele sana,
Nakushauri uende Arumeru kwenye kampeni management team ya chama ili uweze kujifunza siasa za Bongo, japokuwa kuchukua jimbo lile itakuwa rahisi sana kama uzini lakini bado naamini kuna vitu viwili ama vitatu utajifunza, ili uweze kujipanga kwa 2015 kunyakua jimbo...
Kaka ninafahamu printers watatu wakubwa sana sasa hivi huko Tanzania na walianza na stationery kama kijana fake id anavyotaka kuanza tena labda yeye anawezakuwa anaanzia juu kidogo kuliko hawa jamaa.
Na kuna jamaa mwingine ni importer mkubwa sana kwa printers wa large format na paper na yeye...
Kuna Wahindi hapo bongo wanasomesha watoto wao huku US kwa ajili ya biashara hiyo, sina ufahamu mkubwa lakini wanadai kama utakuwa mjanga na kupata dili ya ku supply kwenye corporate companies, NGO na serikalini huku unaendelea kuwauzia wananchi wa kawaida basi kufanikiwa ni kwa kiasi kikubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.