Kwa hiyo kwa andiko lako hili ni kwamba Lissu hakupigwa risasi? Si kweli kwamba amekwaruzana sana na Magufuli kiasi kwamba amekamatwa mara kadhaa na kuwekwa rumande? Kwa hiyo wangeandika kinyume cha mambo yanavyotukia?
Imesikilizwa na hakimu gani wakati taarifa zimesema imeahirishwa kwa sababu hakimu amefiwa? Na imeahirishwa hadi Agosti 31, mwaka huu. Wewe hizi taarifa umezipata wapi? Ulikuwa mahakamani au umeambiwa na mtu ambaye naye hakuwa mahakamani?
Nilimsoma mwandishi anayeitwa William Shao. Kama sikosei, mwaka 2007 aliandika kwa urefu kuhusu hili katika gazeti la RAI. Juzi nimeona tena ameikumbushia katika ukurasa wake wa facebook. Makala hiyo niliitafuta na kuikuta katika linki
William Shao: USIRIDHIKE NA MTAZAMO WA JUU-JUU TU
TLS hawajawahi kufanya uchaguzi wakati wowote? Kama waliwahi kufanya uchaguzi ni kwa kanuni zipi? Au hizo kanuni ziliisha muda wake? Na kama muda wake uliisha, ni lini uliisha?
Kuisifia mahakama vipi? Hamkusikia hata wale MAJAJI wakiilaumu ofisi ya DPP kwa madudu waliyofanya? Hamkusikia majaji wakisema wanasheria wa Serikali wanainajisi sheria ya nchi? Hebu kuweni na akili zenu mnapojadili masuala ya nchi. Sheria za nchi zinasiginwa na bado mnashabikia? Kweli kuna watu...
Ulishasoma kitabu hicho? Kama umekisoma sawa, lakini kama hujakisoma umejuaje hoja alizotoa zimeshaibuliwa na wengine? Au ni ule wivu wa maendeleo ya wengine?????
Nitajie uongo ulioandikwa na gazeti hilo. Kuulizwa kuhusu elimu yako unajibu kuhusu Manji? Elimu ya Makonda na Manji vinahusianaje hata ulihusishe gazeti hilo na Manji? Aliyeanzishah habari kuhusu habari ya elimu ya Makonda katika mitandao ni Jambo Leo. Inawezekana si tu kwamba huna habari za...
Kwa waliomwelewa Bashe wamemwelewa. Kwa ambao hawataki kumwelewa hawatamwelewa. Lakini amemwagika. Natamani nami nisome vitabu anavyosema. Mimi nimesisinkwa sana na uchambuzi wake. Amechambua vizuri kwa kutumia hali halisi ya wakati wetu. Bravo Bashe
Kuna habari kuwa wakurugenzi wote wa NSSF wamepigwa chini leo na wanne kati yao wako chini ya ulinzi.
======
Bodi ya wakurugenzi ya NSSF imewasimamisha kazi wakurugenzi sita na mameneja sita kupisha uchunguzi wa tuhuma zilizopo kwenye ripoti ya ukaguzi ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.