Nenda kwa dentist akisha Fanya tathmini ikiwa ni pamoja na kuangalia kama kuna jino lililoong'olewa au LA. Dr anayeweza kufunga braces yuko Smile dental clinic iko Posta karibu Holiday Inn city centre
Tumeshindwa kukaa chini na kutafakari nini kimesababisha kufeli kwao na sasa wanalalama kila uchao. waislamu wapo ambao walikomaa wakafaulu lkn tukiendelea kupaka hina ktka miili yetu lini na saa ngapi utasoma. lkn pia wakumbuke waliofeli si wao tu wapo pia wakristu na hata wasio kuwa na...
mkuyati og haihitaji ku-prove tangu lini sifuri ilalingana na mbili hata kama umesoma shule za kata na ukata. nashukuru kuturudisha darasani japo ni zaidi ya miongo miwili iliyopita tangu tuachane hisabati kama hizi. hatua ya tatu ndipo makosa yalipo
kwa uelewa wangu mdogo nadhani huenda hakukuwepo mawasiliano kati ya luhanjo na mkuu wa kaya ama walidhani ishu ifunikwe tu halafu jairo aendelee kuchangisha michango na kushiriki kusaini mikataba mibovu kwa maslahi ya watu wachache. Tunawashukuru wabunge kwa kutoamua kuomba mwongozo wa spika...
Mzee cleopa ametumia nafasi yake kikatiba ya kutoa maoni yake kama raia wengine wanavyoweza kufanya na wala hakumtukana mkuu wa kaya. aliamua kuongea ukweli kwa kuweka wazi ili kuwa na tz yenye maziwa na asali nini kifanyike tangu sasa.
nadhani mkuu jambo la msingi ni kujipanga kwa kuhakikisha mipango yako ya mwaka huu uliyopanga inaendana na hicho kipato chako maana waweza sema hujanunua chochote cha maana lakini umesema unakula, kunywa ingawa hukusema hayo makulaji ni gharama kiasi gani. ni ukweli ulio wazi maisha ni magumu...
though a constitution allows you to have freedom of speech, that is not the way. you might be fueling conflict unknowingly. think before you touch your keyboard plz
pole kwa kufanya utafiti huo japo ningekushauri siku nyingine kabla ya kutoa majibu kwa wanajamii ungeenda mbali zaidi hata kuwaona watu kama katibu wa afya wa hospitali hiyo na medical officer incharge kumpatia taarifa hizo ili kusaidia kuondoa kero kama hizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.