Kelele zoote za nini kama video ipo weka msiwapotezee watu muda kujadili upompompo, sio kutishiana tishiana tu kama watoto vinginevyo itabakia kuwa u..........
Darfur wanaoenda kulinda amani ni polisi au jwtz, kwa wengine wakalinde amani halafu kwetu wakae wanaangalia tu, hiyo haiwezekani.
Charity begins at home
alitaka na analipwa mshahara equivalent na emoluments ambazo angepata kama mbunge ikiwa ni opportunity cost ya kuacha ubunge ili agombee urais,kwa kigezo hicho tu..,nahisi hawezi kuishi hayo maisha...lakini cha msingi hapa sio kuishi hayo maisha ,msingi ni kwa jinsi gani taasisi ya urais...
Sio kweli ,ningetaka demu mahala hapa ningesema wazi,siamini saana katika kutafuta demu kwa njia unayohisi wewe, kinachoniumiza mimi ni kukataliwa na wasichana ambao nakuwa na hisia juu yao,kiasi cha kuhisi kuna roho ya kukataliwa inaniandama
Inauma sana kama uko kwenye hali hii,kama haujawahi...
uwanja F sio mpango kabisa katika mipango ya maisha yangu na hata kama nikienda nitafanya ngono lakini sio kupata mapenzi
Ahsante kwa uhusika wako na ushauri pia
damn ! rejection tena ,naombeni msaada ndugu,kwa nini wengine wafanikiwe katika mapenzi,mimi tu ndo nionewe na hawa wadada,they come close to me only when they are in trouble, kwa nini mimi tu wakati stori za siku hizi wanasema kutongoza imekuwa rahisi mbona sasa ni ngumu kwangu
Nashukuru kwa mchango huu ntafanyia kazi ushauri wako kwa umakini,
Kiukweli kwa haya maumivu saa zingine najiona tofauti kabisaa " feelings of becoming mad" sitaki kukata tamaa lakini kwa vitu nilivyopitia sijioni kama kuna future katika mahusiano.Mbaya zaidi linapokuja swali "shemeji mzima ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.