Chanzo ni radio Imani na madai yao ya kijinga ta kusema kuna memorundum .Kwa zanzibar chanzo ni KAFU kushindwa siasa kuingiza dini .Kikubwa zaidi twena ni waislam kukimbia shule na kujawa na umasikini wa akili hadi mali matokeo yake ni haya .Wewe unadhani chanzo kingine ni kipi ?
Kaka funguka kwanza naona unaongea ukiwa usingizini amka.Listen Nape na wahuni wenzake walienda Goba .Wakaacha kuongelea maswala ya Nchi ikawa ni Mnyika nk .Chadema wame enda wameongelea mikakati yao na nini wamefanya na pia wakajibu hoja iliyo tolewa na Nape ni kawaida ndiyo politics uliyaka...
CCM kila mtu ana mradi wake
JK miradi ya gesi na mengine mnayajua
Kinana mradi wa tembo wetu na mengine mwayajua
Ma polisi wana miradi yao pia
Lowasa ana miradi .
Pinda na Makinda mnaijua miradi yao sasa mnamshangaa Magoi ? Yeye aliona Mwalimu kafa masikini kwa jina la wataznania hawezi...
Hivi ndugu waislam nani katulaani ? Yaani tuna acha kusimamia mambo ya maana tunataka shari.Sisi waislam Dunia nzima tumekuwa kituko .Tuna madai lukuki ambayo hata kwenye uislam kwenyewe hakuna .Hebu tuacheni ujinga ni muda sasa wa kuendelea .Wenzetu wakristo tunawapigia kelele wao wanafanya ya...
CCM bana aliye waroga anaishi mtoni mtongani ndiyo maana akili za nape zimekaa kama nepi ya mtoto mdogo .Tanzania ya leo labda hao clouds anadhani wana influence na vijana wa kitanzania wasiopenda rushwa .Pole sana Nape na ukilaza wako
Mzee wa Kijijini umesema mawazo yako sasa endelea kuweka nyama juu ya yale mawazo ya Mtei uliyo pinga hadi ukaleta TLP na CUF . Upinzani Bungeni mkuu unatakiwa sana maana ndiko zinako andikwa sheria za Kuongoza Nchi nk au kuna mahali pengine ?
Kama kweli CUF wamesimama Tanga is well and good . Chadema hawako kuimaliza CUF bali CCM . We need CUF kuwa mbugeni na kushika madaraka pia .
Sasa tolea ushahidi wa madai yako uliyo yatoa hapo juu mana they make no sense . Kmaa una bisha onyesha
1.Uchaga
2.Kanisa
3.Mbowe being a one...
watu wametumia kika mbinu kushinda kwa haki lakini ilikuwa ndoto kubwa . Je kabla swali lako uliona aina na namna uchaguzi ulivyo andaliwa ama wewe unatehgemea kushinda bila kuangalia uhalisia wa mchezo ?
GS
These guys are doing what they have been taught to preach .Wanaimba wimbo ule ule wa udini , ukabila nk ambayo ndiyo nguzo kubwa ya CCM na CUF . Tuangalie udini tuone kwenye CCM na |CUF kama kipimo ni Mbowe kuwa kiongozi then ndiyo uchaga . Chadema ni chama cha Kitaifa kwa kila hali . Turudi...
Watanzania wa Mugumu wana hali mbaya sana sana . Grumeti ni jeshi la uana haramu jamaa ni mbaya anaogopwa hata kuliko Serikali Mkoani Mara na wilaya Mugumu . Nimepata kufika hapo nikasimama na gari getini nakueleza nilivamiwa na wazawa kama mie ni mwizi mie nikatulia baada ya makelele yao nikawa...
Hongera mwana KKJJJ mana hata Hafif kakubali kweli umemchapa pabaya maana kajawa ma negative kila mahali na Tumaini ni mahututi sasa anaanza kujamba hovyo .Makapi ni makapi tu bwana .
Unabishana na huyo ? Jaribu kusoma historia yake hapa forum utagundua hata kama mimi si mwandikaji sana lakini nimesha msoma huyu jamaa amejaa chuki dhidi ya Wachaga , Mkabila ana matusi kwa watanzania , ni mpuuzi na kipofu kiasi cha kuona Chadema si chama yeye analia na helikopta na kuwaita...
Walikuwa wanaelekezana namna ya kula pesa ya mlipa kodio na kuficha siri zote zina expose ulaji wao wa pesa za Umma . Wamefanikiwa kiasi fulani maana ambao hawakula wanatoa info kwa kuwa hawakupata lolote .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.