Sio ishu jamani mambo mengine ni maisha binafsi ya mtu, kilicho muhimu hapa ni malengo ya mtu binafsi. Ulaya kitu gani siku hizi maisha yapo hapa hapa bongo, kikubwa ni kujua mitego imara ya kutega. Mbona pamoja na kuishi UK sana tu Abdallah Majura yupo Dodoma anapiga mzigo kwenye FM Radio moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.