Hivi hilo Azimio la Arusha...mbona hata watanzania hatufahamu misingi yake? kwa nini nakala yake isiwekwe kwa mfumo wa electronic ili tudownload na tusome tuelewe?
Kwa uelewa wangu mdogo, kama nitakuwa sikosei...hivi si hili Azimio ndilo lilipelekea watu wajipangie foleni ya sukari na sabuni...
Yaweza kuwa ni kweli maana baba lao nimesikia juzi kwenye kile kikao chao cha kujivua gamba anasema ilikuwa ni mswada wa ile process ya kukusanya maoni na sio wa katiba mpya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.