Jamani. Hata tunachojadili hakitupasi kwasababu kama ni pesa zenye dhambi karibu kila mtu anazipeleka kanisani, wengine wanauza pombe, ngono, wizi, mauaji, dhuluma na mambo mengi. Mungu mwenyewe ndiye atakae toa hukumu kwa vyote hivyo tumwacie yeye.
Shukrani ni siri ya mtu kumtolea Mungu, unajuaje kama alishatoa? au mpaka atangaze kwamba ametoa shukrani? hata kama aliwaona yatima, wajane, walemavu na wagonjwa pia ni sehemu ya shukrani yake sio lazma kila mtu aijue.
Du ananguvu sana huyo demu au pepo la ngono, mnatumia condom? maana kama mnatumia angeshingwa maana ingemuumiza lakini hata kama utakuja kumwoa nakushauri tumia kinga msuguano ni mkali hapo
Ni kweli kabisa watu siyo wazinzi kivile hadi kuwa na mke au mume wa mtu ila chunguza utaona ndani ya ndoa zao kuna tabu kubwa sana, kama binadamu unafikiri cha kufanya unasema ok nitoke nje, siyo vyema na mungu atusamehe
Siyo poa kumfanyia hivyo mwenzio je na kwako ikikataa itakuwaje? ni kweli mwanaume anaweza kuwa kicheche mpaka ukaamua vinginevyo but ladies nawashauri kufanya hivyo ni very bad kama kweli inafanyika.
Kila kitu huku ni ushabiki tu, sasa hawa wote wanaweza wakakamilishiwa mahitaji yao na huyu jamaa, ninachoshukuru baada ya siku chache waliaibika vibaya mno, acheni ushabiki wa vitu ambavyo hata mungu havimrudishii sifa na utukufu bali ni ubatili mtupu
Kwani mchana hutoki? kama anaogopa kuna jambo utalifanya usiku mchana haliwezekani? labda kama anakufungia usiku na mchana, makubwa, utapata wapi hata new ideas? mwanaume hapo yupi na mwanamke ni yupi? pole sana, kuwa makini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.