hakuna mwanafunzi anaelewa na ku reson akaanza kumzomea m2 pasipo sababu we nae bendera ,jitambue soma mood ya audience na ujue cha kuongea,wanafunzi wa leo siowale wa kata
me unajua nimeshanga sana mwaka huuuuuuuu, yani naona majabu katika nchi hi ya kisiwa cha amani?am nit sure //???mana naona hataamani haipo sokoine angepata wasa akamka ange waua wote walioanzisha iyo kampeni. then hata familia yake idont know why wametoa maoni ni izalilishaji kataifa mana hata...
hapana nyoka anakawaida 2 ya kujivua ila usitegemee abaki bila ngozi sasa ndo haya ya makamba na mwanae ivi tanzania hi ya mrisho na wenzake adi lini jamani me naona 2sipoteze wakati panapo bidi twende . unajua walioingia msituni hawakukosea?
hapana nyoka anakawaida 2 ya kujivua ila usitegemee abaki bila ngozi sasa ndo haya ya makamba na mwanae ivi tanzania hi ya mrisho na wenzake adi lini jamani me naona 2sipoteze wakati panapo bidi twende . unajua walioingia msituni hawakukosea?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.