Ni takribani mara ya tatu sasa ambapovituo vinavyouza nishati ya mafuta (petrol,diesel) vimesuasua hasa baada ya bei mpya kutangazwa na ewura. Nakumbuka ilikuwa july mwaka huu ambapo mabo yalikuwa mabaya zaidi juu ya suala hili. Pamoja na haya yote serikali ilishindwa kutoa tamko la karipio kwa...
Hata hao polisi wanao mtafuta huyu bwana kwa kutumwa na wakubwa ni sawa na makopo ya choomi ambayo yakisha kutumika kwa mda mrefu na kuchakaa hutupwa na dhamani yake isikumbukwe tena . ngoja watumwe na wakubwa wamkamate ila wakumbuke kuwa wanalipwa laki mbili na wanalala kwenye nyumba za madebe...
Watanzania wenzangu mimi inanisikitisha sa kuona serikali iliyoko madarakani haisikilizi na kufuata matakwa ya wananchi, Aliyoyaseme muheshimiwa Tundu Lisu Bungeni yana hoja ya msingi bila kufuata uchadema wala uccm.
Wana JF na Watanzania wenzangu nahamasisha mgomo wa nchi nzima kupinga suala...
I wisha i were there nchii hii imenichosha Nina imani kabisa mbunge wa mbeya mjini leo halali dodoma ataondoka kwenda mbeya tafadhali endeleeni na mwendo huohuo UKOMBOZI WA TANZANIA NI SASA
mi nilijua ni ka milioni hivi manake wamejaa misifa hao utazani ndo hawana shida kumbe ndo mana wengine hata nguo za kubadilisha hawana wanashindia sare zao hata ikiwa hawapo zamu!
It is my conviction that the name TANZANIA came to exist after the unification of TANGANYIKA and ZANZIBAR in 1964. This unification has just lasted for 47 years. When the unification of two countries took place it should be noted that ZANZIBAR had just undergone revolution three months...
Nainoea huruma sana serikali ya jamuhuri ya muungano wa tanzania kwani imejiingiza kwenye tatizo ambalo viongozi wasipokuwa makini litawadhalilisha wao p0amoja na serikali yao kwa ujumla,kutangaza bei ya mafuta na kushindwa kuwa na power of command juu yake ni aibu kwa serikali japo hakuna...
Ndugu wana JF nimezunguka toka asubuhi natafuta mafuta kila kituo nilichofika naambiwa mafuta hakuna ,pump mbovu na kwingine wahudumu hakuna adi gari imenizimikia njiana. nimetembea kutafuta chakula pale ninapokula siku zote bei zimeongezeka kwa miatano zaidi magari barabarani yamepungua na...
No way Obama is thousands kilometres away think of vastiness of USA then think of Tanzania then and compare again m sorry for this hii ni sawa na kufananisha KIFO na USINGIZI
Tofauti kabisa na nchi nyingine Africa na hata duniani Wabunge wetu wamekuwa bado na mtazamo duni wa kuendesha siasa za kishabiki Bili kutazama Maslahi ya nchi. Ni mara nyingi tuneona viongozi wa ngazi za juu kabisa wakifanya mambo huku wakipendelea maslahi ya chama fulani.
Hivi karibuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.