Wednesday, 27 April 2011 21:59
Ramadhan Semtawa
MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge amesema anasubiri taratibu za Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuona kama atapewa barua ya kumtaka ajivue nafasi zake za uongozi kwani hadi hivi sasa hajui kitu hicho.Kauli hiyo ya kwanza ya Chenge...
Ndg, wana JF; poleni na majukumu ya kuelimisha jamii yetu ya Tanzania; Katika pitapita yangu ndani ya ulimwengu wa tovuti mbalimbali nilikutana na mwanablogu mmoja anajiita BC kutoka blogu ya Wazalendo Forums - Powered by vBulletin. Ndugu yetu huyu alikuwa anafanya mahojiano na na binti fulani...
Waberoya umeniamsha naenda kuandika insha kwa ajili yako. Mimi siangalii ni nani amenandika ila najibu mapigo kwa niaba ya mpiganaji wetu Dr Slaa.
Najua utakuwa mdogo sana kwa umri, elimu, ujuzi na maarifa kwa Dr Slaa.
Hata experience zako ktk chama chochote hapa tanzania nadhani ni ndogo...
embu itazameni hii video kisha dondosha ujumbe wenye akili
http://www.eastafricantube.com/media/46285/Dramatic_video_of_Gbagbo_arrest_as_troops_storm_Iv ory_Coast_residence/
Hello wa kina Baba, Mama, Kaka, dada, na wadogo zangu salamu ziwafikie.
Najitambulisha kwa jina la DEKA mgeni ndani ya nyumba ya maarifa.
Nipokeeni kwa mikono miwili ktk Bustani hii ya mawazo ili nami niwe mpandaji tkt bustani hii nzuri hapa nyumbani.
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.