Mama yako nadhani ni mtu mzima, naamini kabisa hawezi mkataa pasipo kukupa sababu.. Acha kuandika vitu nusunusu toa maelezo ya kutosha kwani kwa styl hi uwezi pewa ushauri utakao kufaa,
Huyu ni mwananchi mwenye uchungu na nchi yake, makosa madogo madogo ya kisarufi na kutokufuata misingi ya uandishi isiwe sababu ya kushusha thamani ya maoni yake, nimeiso vizuri hii thread yake inaeleweka kama unania ya kuelewa...
Nadhan tutambue penzi la dhati ni lilelinalotoka ndani ya nyama za moyo. Upendo wa dhati huvumilia, pendo halitaki makuu, mimi naamini kuwa hama kitu duniani ambacho kinaweza kumfanya mwanadamu awenafuraha yadhati kama kujua kunamtu anayempenda kwa dhati ya moyo.. Kejeli, kashfa, matusi ni...
Bilashaka leo upo happy, pole kama hauna furaha.. Wakuu mimi natumia samsung sgh u900 ina matatizo mawili makubwa 1) mtu akinipigia simu nikaikata bila kuipokea simu inakata alafu inaniandikia AUTO REPLAY MESSAGE SENT alafu hiyo message inaenda kwa huyo aliekuwa ananipigia, nimewapigia voda...
Nashukuruni sana kwa ushauri wenu wapendwa hakika hakuna kama jf wote mlio nishauri nimependa ushauriwenu, bado napenda kusikia meng kutoka kwenu.. Ukwel huyu binti nampenda sana na nina malengo nae. Ila ndo hvyo kidudu mtu kimeingia
Kwanza unatakiwa utambue mapenzi ni nini.. Labda hataki kuwa mwalimu kilamtu ana vitu ambavyo yeye anaona akivifanya vitamsaidia maishani. Huenda anawezakuwa mjasiriamali mzuri.. Ni vyema ukaenae chini na umuulize anachotaka nini, mara nyingine msaada wa kisaikolojia siajabu hakuamini kama...
Kwahiyo wat next? so umefurahi kumwona mtualie fanana na mpenzi wako wa zamani.. Kwahiyo unataka huyo nae awempenzi wako tukupe mbinu za kumpata? au unataka kutuzihirishia duniani kuna watu wana fanana?
Nashindwa la kufanya coz naweza kusema ni siompenzi wangu kumbe ninae mwambia ni huyo bwanaake, naweza ni mpenzi wangu kumbe ukutekweli ni baba mtu au baba mdogo... Kuhusu kutambuliwa na wazazi tulipanga tufanye hivyo mwakani mwez wa 3. Baba yake na mfahamu kwa kumwona ila yeye hanijui. Ni binti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.