mmenikumbusha mbali sana mimimnilikuwa mzumbe kwa miaka sita 1995-2000 nilikuwa mkwawa namba nne namkumbuka mwalimu minja alitutandika darasa zima form one A kisa kumkumbushia muda wa kipindi chake cha english ulikuwa bado; tunawakumbuka enzi hizo mwalimu mkumbo ,bitwale, T.D.K. MSUKAhead...
alikuwa anaitwa malkia wa wizi wa kalamu alifungwa miaka 28 nikumbukavyo mimi labda wana jf wanikumbushe kati ya mwaka 1987 au1988 kama sikosei enzi hizo nilikuwa young sanaduh umenikumbusha mbali sana mkuu
ahsante mkuu nimeona pia vijana wangu wa mzumbe hawajaniangusha, ingawa perfomance yake siyo kama ile ya enzi zetu,enzi za tanzania one marehemu wibonele mungu amlaze mahali pema peponi ameni.Tulikuwa chini ya headmaster T.D.K MSUKA kisha akaja mr mwasha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.