Hello JF mebers! mm ni mwanafunz na nimekuwa na tabia ya kutumia laptop kusomea kila siku coz material niliyonayo mengi ni soft copy. kwa sasa ni takribani mwaka wa pili huu ninatumia bila protection yeyote na huwa natumia hata zaid ya masaa sita per day.
Je ni matatizo gan ya kiafya yanayoweza...
kwa mtizamo wangu sio sahihi. kitendo cha wabunge kununuliwa mashangingi na kilipwa hela kubwa wanaonyesha dhahiri ni jinsi gani walivyo after money. hata wale wapinzani tunaowaamini na wenyewe wapo kimaslai yao zaid coz kama waliweza kutoka nje kutokusikiliza hotuba ya rais kwa nn...
Habari zenu wana JF
nina rafiki yangu aliyeoa hivi karibuni miez 2 iliyopita. tatizo lake ni kila akifanya mapenz anaishia mabao mawili tu then uume unasinyaa jambo ambalo mke wake analalamika hatosheki na mwendo wa viwili. nilimshaur asifanye sex mfululizo angalau asubiri labda baada ya cku 3...
BIG UP LEMA!! hao 90 kwa kutambua walkuwa in wrong way ni ujasiri na mwendelezo wa mabadiliko
kilichobaki wanatakiwa wapeleke nuru hiyo kwa walio gizani
TANZANIA YA MAFANIKIO NA MAENDELEO YA KWELI INAWEZEKANA!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.