Jamani msaada wa kujua tatizo na tiba kwa anaejua.
Wife amekua akipata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa hali inayopelekea tusifurahie kabisa raha.
Mara nyingine amekua akinipa tu kwa hofu kuwa napokosa muda mrefu naweza mchiti jamani naombeni muongozo wa kujua tatizo na tiba sahihi...
nafasi 2 za waalimu wa diploma au degree kwa masomo ya physics chemistry,biology, na mathematics, shule ipo morogoro mjini[kihonda] kwa yeyote mwenye sifa hizo tuwasiliane kwa 0713891059
nyakarungu greyson tunajua nawe ndo ulokua unakula zile 150000 toka kwa zzk,sasa sishangai kwa kuja na hoja dhaifu kama hii,najua una uchungu kiasi gan baada ya kutumiwa na kwa unafiki mlidhani hamta bainika,
Nimepita hapa maeneo ya ilala karibu na club ya wazee, kuna mauaji yametokea kwa watu wawili kupigwa risasi na muuaji nae kajiua,pia wawil wamejeruhiwa. Taarifa zaid ntawajuza.
Kwa mujibu wa shuhuda wa Clouds FM.
Mauaji hayo yamefanyika maeneo ya Ilala, kataja maeneo kwa jina lake maarufu...
Wadau naomba anaeitambua namba hiyo +255262604828 anijuze mana nimekuta miscal. Nasi tulituma application tunapokuta namba mpya za cm za mezan tunajua labda umeitwa sehemu. Nimejaribu kuipiga haipokelewi
Jamani heshima kwenu wote! Naheshimu mawazo na ushauri wenu., nina sumbuliwa na tatizo la kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa nikiwa ni mwanamke hali inayopelekea kutofurahia kabisa tendo ilo, mwanzon nilidhan ni maandaliz duni lakin kadiri navozidi ndo napata maumivu zaidi kiasi hata...
heshima kwenu wote,................wana jamvi,ni takribani mwaka wa tatu sasa tangu niingie ktk ndoa na mwanamke ambaye niliamini tunapendana sana,lakin mambo yamenibadilikia hasa baada ya wife kuhitimu masomo yake ambayo pia nilimgaramia kama njia ya kumkwamua kielimu na kwa maisha ya baadae...
Jamani ule mpango wa serikali kulipa watumishi wake mishahara ya januar umeanza kutekelezwa au ilikuwa mbwembwe zao tu. Kwa alie na taarifa rasmi ya utekelezaji wake atujuze!
Naomba ushauri na muongozo katk hili. Mimi niliajiriwa km mwl. Wa shule ya msingi(gvt) na kuamua kujiendeleza hadi kufanikiwa kumaliza shahada ya uhasibu mwaka 2011,lkn ktk kipindi chote hicho muajiri wangu alikuwa hajui km nasomea fani tofauti na ualimu,na sabubu ya kumdanganya kuwa nasoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.