hii haikubaliki hata kidogo, kuleta ubaguzi wa kiasi hiki kama lengo nikupunguza makali ya maisha kwa wafayakazi sasa hawa watanzania wanaofanya kazi kwenye taasisi zisizoza serikali watakimbilia wapi?
Serikali ya CCM inajijengea chuki na watazania walio wengi ambao hawafanyi kazi serikalini...
nilifuatilia kwenye TV. imenisikitisha sana kuanahoja za msingi hazizingatiwi na wabunge wa ccm waniishia tu kwa kusema ndiooooo! wanapoulizwa kama wanakubali ibaki kama ilivyo. ipo siku itatoka vurugu bungeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.