Ni swala la uelewa, kujitambua, na kuyakubali mabadiliko.
Nitafafanua kidogo: kijana kabla hajao mara nyingi anakuwa karibu na familia yake (baba, mama) hata kama amepanga haoni shida kutoa matumizi kwa familia yake (japo si wote) lakini anapooa automatically akili yake anailekeza kwa mamsapu...
TUACHE KUTETEA UPUUZI..... UHALISIA NI KWAMBA WANAFANYWA KINYUME NA MAUMBILE...SAWA NA VIJANADUME VIVAAVYO HERENI....NAO WANAFANYWA KINYUME NA MAUMBILE YAO....!
Mengineyo ndiyo yanaingia baada ya maana halisi kupita
ahsante kwa kusema ukweli unaofichwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.