Hivi kumbe ni kweli huwa hawapendi "today we need to talk", basi wakijua hivyo wajaribu kuwa na njia zilizonyooka!
Inaudhi sana pale ambapo unakuta unataka kumweleza jambo la maana ambalo halihusiani na makosa ila atakuzungusha kwa sababu ya kujihisi vibaya!!! Wanaume jamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.