Hii post ni ukweli mtupu, kula tano Vuta-Nikuvute. Kuna mistari kwenye biblia takatifu kwenye agano la kale (sikikumbuki vizuri) inazungumza kila kitu kuhusu Ibada za Mashetani, kwa uchache nakumbuka hivi........' Mmeweka miale ya moto kwenye milima na kuibudu, hii ni chukizo mbele za Mungu'...
Mleta uzi naona kama vile una interest na mtandao wa tigo, anyway pamoja na tafiti za kisayansi ulozotuelezea (japokuwa hatuna evidences) Mungu amekataza hiyo kitu............kumbuka Sodoma na Gomola kama wewe ni Mkristo.
Sikumbuki ilikuwa mwaka gani hasa lakini nidhani kati ya 1992 and 1994 ilikuwa Ijumaa kuu kama kesho. Si unajua wakristo tuna desturi ya kutokula Nyama siku ya ijumaa kuu, basi bwana akaja dada mmoja na sinia na Makongoro. Hii ilikuwa biashara muhimu sana huko Kiomboi Singida, nakumbuka tulikuwa...
Mkuu umegusia Zimbabwe umenigusa sana. Tanzania tunahitaji viongozi kama Mugabe wenye maamuzi ambayo ni positive kwa wanachi wake ijapokuwa kwenye ulimwengu wa Manyonyaji anaonekana mbaya. Ni bora tusipewe misaada lakini rasilimali zetu tuzisimamie wenyewe kikamilifu. Kama haya masharti...
Kwanini unataka used? kwani dukani zimeisha? anyway mimi ninayo nilinunua mwaka 2011 kama sikosei. Unaitaka kwa shilingi ngapi? panda dau naweza kukuuzia.
Uwongo wa kumdanganya mtoto huu, by the way miezi nane ya kufukuzia demu unaona mingi? wenzio tulifukuzia miaka mitatu ndo kikaeleweka. Jifunze kuwa mkweli itakusaidia maishani.
Mkuu chukua hatua mapema zungumza nae kuhusu alivyokutibua, halafu mpate suluhisho. Kama mke na mume mnaaminiana ya nini kujidai eti simu & co ni vitu private? otherwise there is something behind not good. Mkuu pamoja na mazungumzo lakini inabidi upige mkwara wa maana lazima kidume ajulikane in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.