Search results

  1. M

    Equity Bank wanahujumu uchumi wetu

    hoja zuri lakini haitapata watu wa kuchangia kwa sababu wachangia wa forum hii wanapenda kujadili watu badala ya issue
  2. M

    Too low Mhe Kabwe Zitto!!!

    litafute hilo gazeti la mwananchi halafu uandike nukta kwa nukta mstari kwa mstari usichague maneno ukisoma maelezo yote utamuele
  3. M

    Josephine Mushumbuzi amfikisha kortini mumewe Mahimbo kudai talaka

    Kama ni kisu basi kimegonga kwenye mfupa, wenye Dr Slaa wao watakushukia kama nzige.
  4. M

    Kila mwanaume anaetangaza kuniowa namuacha

    Ni pm nikupe ushauri wa kiutu uzima
  5. M

    Nyerere Hakuwa na mapungufu, alikuwa Kiongozi Mbovu!

    Embu kuwa great thinker hoja zimetolewa jadili hoja na pinga kwa kutoa hoja sio unakuja na majibu ya reje reje nyie ndio mnaoifanya JF ionekane haina maana, kama huwezi jibu hoja unaweza kaa kimya itakusaidia kutunza heshima yako.
  6. M

    Julius mtatiro: Bora cuf tubadilike tuwe kama chadema.

    kama wanamtazamo huo hongera zao
  7. M

    Hatimaye Prof Mwandosya arejea Tanzania toka matibabu India

    unakumbuka madudu (mkataba) wa TTCL na celtel (airtel) wakati yeye akiwa waziri wa mawasliliano ya uchukuzi, ndicho kilicho ifanya mpaka leo TTCL imeshidwa kusimama.
  8. M

    Mzee Luhanjo na pigo la mwisho PSPF na TIC

    Acha majungu toa sababu zinazoeleweke je hao watu hawana sifa kama hawana sifa au uwezo fafanua vinginevyo hayo ni majunngu na watu kama nyie ndio mnaiharibu JF.
  9. M

    Nape deserves an oscar for this brilliant performance

    Mwambieni nape afanye mazoezi naona mashati yameanza kumbana "apunnguze kitambi"
  10. M

    Unga unamuharibu Albert Mangwea

    Huyu jamaa nasikia hata hela ya kupanga chumba hana analala gesti!!!!!!!!!!!!!!!
  11. M

    Jay Mo ameniskitisha sana

    msiwalau sana wanamuziki wetu kwani mwanamuziki yeye kama yy ni ngumu kusimamama peke yake kupigania maslahi yake kwa mfano promoter anaweza kusain ideal na mwanamuzk akamlipa 2million lakini jamaa akaingiza 30million, kutokana na uelewa mdogo wa mwanamuzk na pengine hajawahi kupata kiasi cha...
  12. M

    Zanzibar yagoma kugharamia Katiba ya Muungano

    Katiba inayo badilishwa ni JMT na si ya zanzibar sasa wao wachangie nini?
  13. M

    John Mnyika awe mwenyekiti CHADEMA...

    Dogo anaweza kujenga hoja na ni jana nimeshuhudia bunge zima likikubaliana na hoja yake ya kubadilisha kipengele fulani, katika kamati teule ya iliyoundwa kumchungaza bwana jairo na si hapo kuna siku aliwashawishi baadhi ya bunge wa ccm akiwemo mhe. simbachawene na mhe zambi walikubaliana na...
  14. M

    Mkurugenzi Mbeya: Wafanyabiashara wanatumika tu!

    siku hizi haka kamsemo kanahit wanafunzi wakiandamana kudai mikopo wanatumika wamachinga wakiandama (baada ya kutolewa kwenye maeneo yao na kopellekwa pasipokuwa na wateja na miundombinu mizuri) wanatumika. enyi wasiasa tumechoka na longolongo zenu
  15. M

    Kafulila akamatwa 'uchawi' NCCR-Mageuzi; MBUNGE wa Kasulu M.Machali yuko tayari kujiuzulu

    Hivi NCCR haiwezi kuimarika mpaka iidhofishe chadema, embu acheni mawazo potofu chadema itajidhoofisha yenyewe kutokana na mienendo ya viongozi wake
  16. M

    Dr. Dau aingilia mchakato wa ugawaji viwanja Mafia

    Mkisha kaa mbele ya screen zenu mnaandika chochote bila ya kufikiria madhara yake nyie ndio mtakuwa wa kwanza kulisambaratisha taifa hili na kaulizenu msizo zipima. na kutoa madai yasio kuwa na facts
  17. M

    Kwanini Dr. Slaa anawasifia polisi?

    kwa kuwa kasema dr. slaa post karibu zote zina sapoti wangesema wengine humo tungesikis wametumwa na magamba na majina kibao wangepewa
  18. M

    Kafulila na Zitto wanaivuruga NCCR - Moses Machali

    Mimi nafakiri zitto akitaka kupona na mashambulizi kutoka kwa magwanda wenzake atangaze hana mpango wa kugombea urais na uenyekiti wa chama hapo atapata nafuu ya mashambulizi kutoka kwa wafuasi watiifu wa mbowe na slaa
Back
Top Bottom