jaman nashindwa kuunganisha net nimeenda had ofisi za makampun ya cm hapa MORO tatizo limeshindikana,nilijalibu kuhamisha vtu toka kwenye pc vinaingia kama file mfano miziki,inaonesha free space ktk phone memory ni 64gb lkn ukichomeka kwa pc inaonesha 4gb.nni uvumbuz wa hayo yote?
Kwa mtizamo ambao sio timamu sana wabongo wengi tunafikiri soka ni mchezo maarufu sana,upande wa serikali ndio kabisa hakuna mipango endelevu kabisaa chukua mfano,tunawanunua makocha kwa pesa ya kutupwa kufundi mpira watu wenye miaka zaid ya 25 wakati kwa wale wanaojua soka la kimataifa mchezaji...
Ni ujinga kwa mtu mwenye mzima mwenye nguvu na mamulaka kikatiba kuongea vitu ambavyo hana ushaid navyo"DONT DARE TO TALK IF AT ALL U HAVE GOT NO EVIDENCE",Nadhan hata mfa maji huwa anatapatapa,Kaheri nch ni CHDM 2015.
Hv sijui tunaelekea wapi Tanzania,DSM haina RC kwa muda sasa hii sio kusema wenye sifa hawapo bali propaganda zinaendelea,Kuna kitu nyuma ya pazia kina eleza kuwa kuna yule aliyekosa jimbo Arusha mjin ndiye mlegwa,akimaliza kulea basi jiji litapata RC.
Mh Membe naye anaanza kutafuta mass influence,cjui naye ndio yupo kwenye harakati za kujivua gamba?.Ishu ya Libya yenyewe kama waziri wa Inje ya boundery amekumbushwa na wabunge.leo hii anaosha nyota UDOM.Kuna umuhimu wa kuwa mgumu kuamini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.