Hebu wekeni hii sawa:
(a) alipata zero form four
(b) aliiba mtihani akapata zero form four (ikiwa hivi itakuwa noma kichizi)
(c) alifaulu form four lakini aliiba mtihani
The same can be asked for form six results.
Dogo kaondolewa Big Brother House kwa kuanzisha ugomvi na Mshiriki mwingine (Elikem).
Nando made threats against Elikem's life, saying ''I feel like stabbing him. A nigga like that deserves to die''
My take: He had it coming.. karibu home (or would it be safari njema to US?)
Mzee Reginald Mengi ame tweet mawazo yake juu ya Kauli ya Nape Nnauye ambae inadaiwa kasema waliopendekeza Serikali tatu ni wazee wanaosubiri kufa.
---------------------------
Habari Kamili
---------------------------
NAPE: Waliopendekeza Serikali tatu ni Wazee wanaosubiri kufa
MZIMU wa...
Breaking newz:
Nyepesi kasafiri kwenda Ujerumani, hajawaaga PM7, again. So akirudi atazikana hizo sms za Saa8. Na katika thread yake ya kukana ata-attach ule wimbo wa Shaggy ''It wasn't me''.
Mbona badala ya kumjibu Saa8 na Exaud umetumia muda mwingi kumshambulia Dr. Slaa?
Wewe ni makamu mwenyekiti for God's sake, kwa nini usipeleke haya mambo kichama unakuja kumwaga hadharani? Yaani ni kama kichaa kachukua nguo zako halafu na wewe unamkimbiza....UCHI.
Shame on u Juliana...
Its funny unahalalisha kupanda bodaboda eti kwa vile umekulia uswahilini na hapo hapo unakubali kuwa si salama, halafu bado huvai helmet, and yet unapiga picha,halafu unakiri kabisa picha imepigwa makusudi na wewe ndo umeiweka facebook. Nyie viongozi balaa.
I think ile nukuu ya Invisible ''Ficha...
Jaji Mkuu: Siku ya kesi ya Lema nitakuwa nje ya nchi, sijajitoa
JAJI Mkuu, Mohamed Chande Othman ameeleza sababu za kutokuwa kwenye jopo la majaji waliopangwa kusikiliza kesi ya aliyekuwa mbunge wa Chadema mkoani Arusha, Godbless Lema.
Jaji mkuu, alitoa maelezo haya jana alipozungumza na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.