Mimi mwenyewe nilikuwa namsafirisha mdogo wangu kwenda shuleni nimeambiwa usafiri hamna[emoji23]
Wakati jana saa 3 nimeambiwa limebeba abiria limeenda mlimba.
Na wanaringa wanajua hata mabasi hayafiki mlimba kwa sasa,nimeamua kumrudisha dogo ale sikukuu kwanza.Hawa tazara pumbavu zao
Nchi ngumu sana
Tazara ni kichefuchefu sio upande huo wa Tanzania wala huku zambia ni shida kwanza hilo treni likivuka tu border kuingia upande huu hayo mabehewa wanapakia nguruwe[emoji23]
Wanakera sana hao wanaokatisha ticket wanajikuta kina nani sijui, Afande Sele alisema Afrika ni miyeyusho ila mfanyakazi...
Hovyo sana, masika haya watu wanakufa njaa huko vijijini maafa makubwa ya mafuriko...watu hawana matumaini wao wanawapa pesa utopolo kwenda kulitia aibu taifa....
Shame upon you
Nyie hata mshinde game zenu zote zilizobaki hamuwezi kutufikia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi yule Tahit Chong hamjamuona? Maana nae anazo rasta,atawafaa sana
On February 24, 2004, the Bournemouth forward James Hayter came on as a late substitute in a Division Two (now League One) match against Wrexham at Dean Court—and promptly scored three goals inside 140 seconds.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.