HABARINI ZA LEO WADAU WANGU.
Labda nirejeshe salam za upendo kwa mlioniombea wakati sina kazi na hatimaye nimefanikiwa kupata kazi kwenye taasisi kubwa sana katika Taifa hii.Hakika ni taasisi kubwa nilikata tamaa nikasema labda taasisi hii inaajiri vigogo tu mimi si kitu lakini hatimayae baada...
PLEEASE ukawa Bora muingie gharama kuhakikisha mnatangaza wenyewe kuhusu uandikishaji CCM ni janja sana ....Hata serikali za mitaa watu wengi hawakujiandikisha kwa kukosa elimu ya kutosha....Jikiteni kwenye kuushawishi watu wajiandikishe
mtizamo wangu.....
Heading yenyewe inatia ukakasiii.....hivi ukiambiwa mmasai huyu...mpare huyu...hii si lugha ya kstaarabu.Ukisema mwanamke wa kichaga isingetosha?
Pili,sijajua kama unaoa mke wako au ni wa watu.Kama ni wako basi angalia moyo unasemaje.Alafu kusema kwamba wachaga wote hawafai...
mtizamo wangu.....
Heading yenyewe inatia ukakasiii.....hivi ukiambiwa mmasai huyu...mpare huyu...hii si lugha ya kstaarabu.Ukisema mwanamke wa kichaga isingetosha?
Pili,sijajua kama unaoa mke wako au ni wa watu.Kama ni wako basi angalia moyo unasemaje.Alafu kusema kwamba wachaga wote hawafai...
Those who have a problem of using letters ''l'' and "r" interchangeably they Normally make terrible mistakes in English than it is in KISWAHILI.Let us observe few examples here,
in kiswahili instead of KULA becomes KURA,also
RULA>LURA,
KERO>KELO
let us also see the outcome when it comes...
Hapa umeongea ukweli sema hapa act na ccm ni wengi kiac kwamba mwisho wa cku sie tusio na vyama automatic tutaitwa ccm.Lakin hata kama ntaitwa chochote ctajali.Lakin mwenye hekima akiambiwa jambo jema hukubal ukweli daima.Kama ccm walivokubal mawazo ya cdm japo kwa unafk japo walikuwa wanakataa
Jaman tukitaka kufika lazima tukubali facts na sio ushabiki ambao uko biased au falacy.generalization falacy kuwa ukiwa ni mwanachadema basi uko sawa siku zote.kauli yangu ctak back up ya act na ccm.facts speak themselves
mifano iko mingi.Mfanö akina chenge bado wanapeta,hata rostam angepeta kama asingejiuluzu.Anyway ambao hawataki kusikia haya watasema ooh nimetumwa au vingnevyo
Wananch wanaangalia alichowafanyia na sio wote ni knowledgeable au wanafuatilia maswala ya kisiasa.SWALI LAO NI AMEFANYA NINI?.Na ARUSHA ni jimbo ambalo linaweza kumweka yeyote.
pole wana cdm kwa uchaguz ambao unaendelea ndani ya chama.Natambua mabadiliko tuyatakayo tutayapata pamoja na hla nyingi za Ccm. Huu ni ushauri wangu ambao ningependa muuchukue yale mema na yale ambayo sio bhasi muuache.
Ningependa kutoa yale nionayo kuhusu jimbo hil ambalo ni kama lulu kwa Ccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.