..nimeshasajili business name BRELA, na nipo katika mchakato wa kumaliza kusajili kampuni na kupata licences, Hakuna usumbufu wowote nimekutana nao pale BRELA na hata kuregister wameniambia itachukua less than 3 working days. Ushauri wangu ni kuwa jitahidi uandae hizo documents (MEMART) tena...
I hope all is well wanajamvi!
Ninajishughulisha na masuala ya ujenzi (construction), mimi na wenzangu (baadhi ya kampuni za construction za wazawa) tuna mpango wa kuunganisha nguvu na kuanzisha kampuni ya ku'supply nguvu kazi (Labour Recruitment Agency) katika miradi mikubwa ya ujenzi...
Kwa wasiomjua Dr Imani Kondo au ZeMarcopolo kama anavyojiita wanaweza wasielewe kwa nini anasema hayo anayosema au anayohubiri kwenye mitando ya kijamii au kwa nini anawachukia hivyo madaktari wa Tanzania na anawapinga sana kwa gharama zozote katika mgogoro wao na serikali. Kwa ufupi huyu ni Dr...
2 be honest kuna njia nyingi na bora zaidi za kupunguza foleni! hizo fly-overs ni either ubishoo wa Jk au ile kuuonyesha umma kuwa wanaweza "kufanya" mambo/kutimiza ahadi au itakuwa ni kauli mbiu ya kuombea kura 2015! kama ilivokuwa MACHINGA COMPLEX 2010! Lakini pia inaweza kuwa ni UJINGA WAO...
please please please tusiishie kwenye keyboard tu wadau! mimi naiamini JF na naamini kuna watu makini sana humu ndani! naomba kama wewe ni mwandishi wa habari, kama ni polisi, kama ni mbunge, waziri, mkulima, mfanyabiashara, kama ni mama wa nyumbani, baba, kijana,mzee, au mwajiriwa wa...
Hapo penye red! huo ni unafiki, upambe na kujipendekeza. Kauli ya bahati mbaya??!! mbona ajaisahihisha!! au kuifuta? au kuomba radhi? wewe Magid sijui, nani kakwambia kuwa hiyo ilikua ni bahati mbaya?? ndio walivyo hao..wamebaki kutukana na kuropoka tu! wameishiwa....
...mimi ni hapo tu...
wanaouliza ma'dr wanapata wapi hela za ukumbi, naomba niwajibu kwa uhakika kuwa wanachangia wenyewe kila wanapokutana, na kuna maprofesa na madokta wakubwa wanachanga pia...hadi watu wa wizarani wanachangia pia!hawamtaki blandna nyoni........wanataka reform kwenye wizara!
source:mwandishi wa...
Madaktari watakutana j3..yote haya yalishajadiliwa kwenye meeting ya leo. Unless itoke taarifa kutoka kwenye kamati waliounda. Yetu macho..................
jana waziri ghasia alizungumza nao pale starlight' akasema interns wote wa muhimbili wamerudishwa muhimbili wakaripoti j3..madaktari waliwasilisha taarifa yenye hoja na madai yao kwa ghasia ampe waziri mkuu.
Bado ni tatizo zito sana, serikali inaelekea kushindwa kulihandle kwa umakini na...
Altimutum hii na tishio la kuwafukuza kazi ni mpango wa Iron Lady Mama Blandina Nyoni, "never on earth to bow down on anyone!"!.
.....sifa za kijinga! Wait and see! go go go madaktari! watanzania tutawaunga mkono punde.
"Hivi ni kweli kwamba hii issue ya madaktari haina public attention kiivyo au ni mchezo mchafu wa media zetu,kwani kuna habari vituo vikubwa wanaripoti za kitoto kweli hata hazina umuhimu ila suala la mkutano wa madaktari kimya, at least star TV leo wamegusia, ila TBC, ITV kimya, ikumbukwe ndio...
Hapo kwenye red, ni Dr.Juliet Makani, ni doctor (M.Med Haematology) muhimbili. Anafanya kazi nzuri sana, anatumia taaluma yake katika researches na kutoa huduma kwa watoto wenye Sickle Cell Disease. Anafanya vizuri sana.
Ni mtoto wa Mh. Bob Makani, mwanasiasa mkongwe Tz.
actually Nape anajidhalilisha sana humu JF na FB...He is c.h.e.a.p, ana' a very narrow mind, he is not gentle, not matured enough etc! zat' ol i cn say... cjui nani anamshaurigi huyu jamaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.