Safi sana Mh. Lipumba, kiukweli ninakupongeza sana maana sisi wananchi tumechoka sana na hawa CCM, ukiendelea hv tutakuwa pamoja nawe daima kwani chama chako kutokua sirious na neno upinzani ndo jambo kubwa linalofanya tuone CUF haitufai maana nyie CUF huwa mnakuwa wapinzani kipind cha uchaguz...
Mbona huyo mkuu wa wilaya anaongea na watoto badala ya watu wakubwa,, hivi mbunge akiwa anapunguzia au kuondoa kabisa michango ya shule anakosea au ana nia ya kuwapunguzia wananchi ugumu wa maisha ,,, huyu mkuu wa wilaya mashavu yake anaonekana kabisa ni miongoni mwa magamba ya CCM...
Hao ndio maelfu jamani watu hata 100 kufika ni bahati kwan kama wajumbe wa CCM ni zaidi ya 200 ina maanisha kuwa hao ni wajumbe tu wa CCM na hakuna mwananchi hata mmoja humo na kama wamo basi hawafiki 50,,, pole sana NNAPE maana huu ndio mwisho wako kujiua kisiasa,,,
Wanaokubali bajeti hii ipite wanyoshe mikono,,,,, wasiokubali wanyoshe mikono.....waheshimiwa wabunge wanaokubali wameshinda,, jamani huu ndio muundo wa bunge letu chini ya spika wa magamba..:mimba:
Kwani ni kifungu gani cha sheria au ndani ya katiba yetu kinachomzuia rais kuacha kutoa ushahidi hata kama watu walifuja pesa kipindi yeye hajawa rais,,,,aende bhana akatoe huo ushahidi mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake yeye si ndiye alikuwa waziri enzi hizo na kila kitu kilikuwa chini...
Unajua wananchi walikuwa barabaran kwa kujua kuwa meya wao bwana Josephat Manyerere (CHADEMA) alikuwa kwenye msafara na ndivyo ilivyokuwa kwan ndg Manyerere alikuwa kwenye Landcruiser nyeupe ikiwa na bendera ya jiji ya rangi ya maziwa, kiukweli ndg Manyerere alikuwa kafungua dirisha akiwa...
Bora hata huo mkono angepunga hata ndani ya gari tungeona kupitia vioo lakini kwa jinsi gari lake lilivyokuwa liko kattikati kama pembe mraba harafu gari lake likiwa ndani ya magari mengine, tulichoshuhudia ni gari metaliki nyeusi ikiwa na kibendera na si vinginevyo huku ikiwa speed 180 wakati...
JK yuko MZA na muda huu kaelekea kufungua barabara inayoelekea Geita kupitia Busisi'
Ila cha ajabu ni kuwa baadhi ya bendera za CHADEMA zimezagaa sana barabarani kuashiria kuwa ni ishara ya ngome ya CHADEMA au nini??? bado sijapata jibu, na hili JK kaliona kiasi cha kumfanya afunge vioo vya...
BARAZA la Vijana la Chadema (Bavicha), limepata viongozi wapya katika uchaguzi uliotawaliwa na mizengwe na vurugu zilizotishia usalama wa wapigakura.Habari zilizolifikia gazeti hili jana zilieleza kuwa, vurugu hizo zilichochewa na kitendo cha Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa...
Jamani hili gamba ni gumu sana maana hata JK alipita jana MZA huku hakuna hata mtu wa kumpungia mkono,,,,,hili gamba linahitaji moto wa jehanamu kuliondoa, ni gumuuuuuuuuuuuu:smow:
Jamani hili gamba ni gumu sana yani nawahurumia hawa jamaa maana wanawavisha vijana mabomu ya nuclear tena kwa bei nafuu na kweli yanalipuka duuu,,,, leo ni siku ya 49 kati ya 90 waliozitoa hawa wazee wa magamba yani hata 1% ya gamba haijatoka, je hizo siku 41 zilizobaki watakuwa wamejivua hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.