Jamani kazi ya Redio ni kuelimisha umma na sio kuchochea vurugu. Hakuna kitu kibaya kama vyombo vya habari endapo kama vitatumika vibaya. Serikali ipo wapi?. Mimi naamini na vigogo wamo ndani yake, maana redio haiwezi kuwa chochezi na ikafumbiwa macho.
BlackBerry 8900 using JamiiForums
Sasa hii inatisha kama serikali inasema ni bure alafu wao wanawatoza fedha wamama wajawazito serikali sasa inafanya nini?
BlackBerry 8900 using JamiiForums
Rais na msafara wake gharama anazotumia ni kubwa sana. Alipawsa kutuma mwakilishi wake tu, pamoja na rambi rambi basi.
Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
Jamani ndugu zangu sikieni. Siku zote muhitaji ndio anayemfuata babu kule, watu hawaendi kule kama vipofu wamepata ushuhuda kwa watu wengine. Halafu kila mtu anapewa kama jinsi anavyohitaji kwa imani yake katika kupona ugonjwa wake. Hata ktk maandiko matakatifu yameandikwa "KWA IMANI UTAPONA"...
Lakini mimi naona hata kama ukiwekwa kichina mtanzania wa chini kabisa ananufaika na nini. Mimi ningependekeza tuachane na katiba na tuongelee kwa undani mifumuko ya bei zinazopanda kila siku, ikiwa tuna rasilimali nyingi na hatujui jinsi zinanyotumika. Katiba mimi naona zinawahusu hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.