Lazima aende manake huyo alikuwa mtabiri na kiongozi wake. Ukiweka matumain kwa mtu katu huwezi kufaulu.Ona sirikali ilivyo, imekuwa ikiongozwa kwa utabiri (uchawi tu).
Jamani Mungu pekee atumainiwe
Binadamu ni nwili na roho,kamwe havitengani kwa mtu kubaki mtu kweli. Mtoa hoja aweke wazi,hivi hakusikia ujumbe wowote wa kipasaka? Nahisi mjumbe kama ulikwenda Kanisan au kuangalia TV na kusikiliza redio.sikio lako ulili'tune' ktk siasa.
SIASA inaadhiri maisha ktk ujumla wake,hivyo waumin...
kunukulu Biblia tu hata mashetan na pepo wachafu wanaweza.
Anakwenda wapi labda anarudia kazi yake ya kufundisha primary, probably he will not come out scandalous as before
Huyo sheikh mtabiri amezidi kwa uongo. Kabla ya uchaguz mkuu alitabiri kuwa mmoja kati ya Slaa na kikwete angekufa,mpaka sasa bado wanapeta.sheikh atalisemeaje hili?
'A lier should have a good memory' aliyosema sheikh anafikiri tumesahau? KATU hatutaongoza na fikra za huyo mbabu.
Basi...
Ndugu Wabe, udini wa Dr Slaa umeanza lini,alipogombea urais? Ukiwa mkweli utagundua mambo mengi aliyoyafanya Dr S alipokuwa bungeni,hapo hamkuhoji udin wake. Kama si kumwogopa kwa ukali wa hoja na kukubalika kwake ktk kutetea maslahi ya umma,basi wewe na ccm mmeamua kumpakazia udini. Kaz...
Kikwete asemapo ccm ndiyo chama tu, vingine ni wanaharakati tu' anasahau kuwa hata kutafuta uongozi kwa nguvu hata kuchakachua ni harakati pia. Hivyo wakati wa ccm unakwisha sasa tunaelekea kuwamwaga
Lema aendelee kuwatoa watanzinia katika wingu la kutojua kupitia wanavyuo.
Kweli ni ajabu kwa serikali kuweka vituo 3 kwa ajili
ya maoni. Kiini macho hiki, wa Tz tuamke. 'Nguvu ya Umma'
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.